Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nakupenda kwa moyo wangu wote, zaidi ya maneno yoyote yanavyoweza kuelezea. Wewe ni mwanga wangu wa jua katika kila siku, na furaha yangu inapata maana kutokana na uwepo wako. Ninasubiri kila...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Natafuta mke wakuoa mwenye umri kuanzia 32 mpaka 38, kabila lolote, Dini awe mkristu. Mimi nina umri wa miaka 35, mkristu pia, kazi ninayo awetayari kupima. Kwa mawasiliano zaidi karibu pm tuma...
4 Reactions
8 Replies
763 Views
.
2 Reactions
6 Replies
531 Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 34 natafuta single maza wa kuishi nae (kuoa) nipo mkoani Mbeya, nicheki inbox
5 Reactions
6 Replies
519 Views
Habari zenu, Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa. SIFA ZANGU 1. Mrefu maji ya kunde. 2. Nina mwili kiasi. ELIMU...
13 Reactions
161 Replies
6K Views
Habari wana JF naitwa Alfredy (23) nahtaj rafiki wa kike ili tuwe wachumba then ndoa Mungu akijaalia.
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Habari, Natafuta mke, nipo serious. Umri ni miaka 29 mpaka 35. Dini: Mkristu na kabila lolote. Nina umri 36 na nimejiajiri pia. Karibu PM.
7 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaj mwanamke yeyote umri sichagui lakin usiwe mnene, kwa ajili ya kuridhishana kimapenz tuu, tutasaidiana panapowezekana. Sihitaj mahusiano ni pale tunapohitajiana tuwasiliane tofaut na hapo...
2 Reactions
7 Replies
518 Views
Wanajf mimi ni kijana mkazi wa Arusha miaka 37, msomi kias na pia mjasiriamali, maji ya kunde na mrefu kiasi, mkiristo. Future wife awe na sifa hizi; ~ Miaka 32 kushuka. ~ Mweupe (weupe asili). ~...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Asalam aleykum Naitwa M ni mwanamke wa miaka25 muslim nina elimu ya dini pamoja na stashahada ya pharmacy Nahitaji mwanaume awe muislam mwenye kujitambua na anayejua nini maana ya mke enough...
16 Reactions
95 Replies
9K Views
Jina : Albus Dini : Muislam Umri : 29 Mkoa : Mwanza Kazi : Dereva NAHITAJI MCHUMBA umri kuanzia miaka 20 mpaka 27 Sichagui dini Wala kabila Kwa aliye tayari anaweza kunipata Kwa 0753112138 Ahsante
0 Reactions
3 Replies
376 Views
Miaka yangu ni 37 Naishi mkoa wa Dar Kazi yangu kwa sasa AFISA WA BANK ( jina kapuni Miaka kuanzia 25 kuja juu chini ya 25 usije Dm Awe na mtoto kama huna mtoto usije coz mimi nina watoto Awe...
21 Reactions
149 Replies
5K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree 2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo. 2.Dini ni mkristu. SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA 1. Awe tayari kuolewa. 2...
4 Reactions
3 Replies
811 Views
Naitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Natafuta mchumba kuanzia miaka 20 kuendelea mimi nina miaka 26.
1 Reactions
12 Replies
623 Views
Kutokana na hali jinsi inavyokwenda kweli wanawake wanahitaji stara, wanaume wenzangu tuongezeni speed ya kuwasitiri. Binafsi nipo tayari kuongeza mke, natangaza nafasi kwa alietayari kuupokea...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nina muda mrefu kidogo nawasaidia wanawake na wanaume kuoana. Nawashauri mambo yafuatayo: 1. Usitafute mtakatifu, hayupo hutampata. 2. Punguzeni vigezo vya kuchagua umtakaye, dunia imebadilika...
13 Reactions
39 Replies
4K Views
~ Naishi Dar ~ Mkatoliki ~ 28 yrs of age ~ Nina mtoto 1 ~ Mwajiriwa Niko serious nahitaji baba wa familia, hata kama sipo najua wanangu wako mahala salama. Kwaresma njema. Sent from my SM-A125F...
20 Reactions
71 Replies
6K Views
Nina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh. Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde. Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wapendwa wote hapa jukwaani. Najitokeza kutafuta mke wa maisha yangu. Natamani kuwa na familia bora yenye upendo na furaha. Familia bora huanza na mama bora, pamoja na majukumu thabiti ya...
3 Reactions
7 Replies
722 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…