Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kwa aliyetayari kwenda kwenye hatua hii. Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume, kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni...
17 Reactions
106 Replies
19K Views
Am a Single mom with a 6 years old daughter, a proudly mom, Na miaka 30 naishi dar, business woman. Ni mnene kweli bonge la mama, mweusi na sio mfupi sio mrefu, mchapa kazi, nimesoma sio haba...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Mamboz, Nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu JF muda mrefu kidogo, kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious. Yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi basi ni...
29 Reactions
41 Replies
5K Views
Mimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
10 Reactions
58 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nina umri wa miaka 27, ni muajiriwa natafuta mke aliye serious. Mimi ni mkristo sharti mke awe mkristo au awe tayari kubadili dini. Nawasilisha.
1 Reactions
1 Replies
924 Views
Mimi ni kijana wa kiume 29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo 1. Umri 22+ 2. Dini (Christian) mcha Mungu 3. Location - Tanzania Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi...
0 Reactions
2 Replies
593 Views
Mi nikijana wa miaka kati ya 27 had 34 nimeoa na nina watoto wawili, nimekuja kwenye jukwaa hili nikiitaji mke wa pili yaan bimdogo, na sababu za kutafuta mke, wa pili moja niko na miradi ambayo...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
  • Closed
Nahitaji mume/mchumba mwenye malengo, awe Morogoro au Dodoma, awe Mkristo, awe na kazi au biashara yenye uhakika wa kipato. Mimi ni muajiriwa - private, I'm black beauty, loving and charming +...
11 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wakuu, Mimi najitokeza kutafuta mchumba (binti) mwenye asili ya Mishamo, Katumba au Ulyankulu. SIFA ZAKE ★ Umri 20-26. ★Awe mweupe kiasi (asiwe mweusi wala mweupe sana)...
1 Reactions
2 Replies
857 Views
Naitwa Daniella Lyimo na umri wa miaka 23, nimrefu so sana, sio mweusi wala mweupe, siyo mnene wala mwembamba nipo wastani, elimu yangu kidato cha nne, kazi mfanyabiashara, mzaliwa wa mkoani...
5 Reactions
60 Replies
6K Views
Habari zenu wa MMU...Uzi huu nimeamua kuandika baada ya mdada mmoja kunipa ushuhuda alipa true love hapa ndani....I hope na mimi nitapata Mungu akipenda Natambua uwepo wa wakaka walioumizwa na...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Wee mwanaume. Kama:- 1. Una umri kati ya 53 - 56 2. Single/Divorced na upo tayari kuingia kwenye mahusiano ya kudumu. 3. Umejitunza kiafya 4. Watoto wako wamejitegemea. 5. Una shughuli nzuri tu...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo: 1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30 2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo 3. Awe mweupe au maji ya kunde...
1 Reactions
6 Replies
956 Views
Hello! Mungu awababariki Niko mwanaume with 42age With VIH + and mtoto mmoja NATAKA MWANAMKE wa kuoa Same life. Mwanamke akubari ku inshi Tanzania au Rwanda Kwa SABABU Mimi nainshi Rwanda. Niko...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
  • Closed
Mume hupatikana popote hata sokoni Sifa zangu ni hizi 1- Hofu ya Mungu 2-Mchaga wa rombo 3- Umri 25-29 4-Sijaajiliwa naungaunga na vbiashara vidogo 5- Sijawahi KUOLEWA. 6- Elimu ninayo ya ualimu...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Wasalam, Kwa upande wangu nina 30+. Mtoto mmoja, Mwajiriwa na Mkristo. Napatikana nyanda za juu kusini, seriosly nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Uwe mkweli na muwazi. PM iko wazi...
11 Reactions
49 Replies
3K Views
Awe: ●Dini yoyote ila asiwe na msimamo mkali ●Kabila lolote ●Miaka 31 kushuka chini ●Elimu form 4 na kuendelea ●Kazi yoyote (si lazima) ●Awe tayari kuishi Mahali popote Tanzania au nje(anifuate...
10 Reactions
89 Replies
4K Views
Mimi kijana (ME) wa miaka 25, natafuta mchumba serious, awe na miaka 22-30 Nipo mkoa wa Njombe. Nimeajiriwa kipato 200k kwa mwezi. Shukrani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
Awe na 19-25 age Kasoma ajasoma, educated or not it’s ok Wa nchi yeyote ilee hata aliyekulia tanzania/any country Kuhusu muonekano sijali urefu sijui ufupi, shape i don’t care Kuhusu uchumi wangu...
13 Reactions
122 Replies
4K Views
Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-33. 2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD). 3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake. 4. Awe na hofu ya Mungu...
6 Reactions
69 Replies
3K Views
Back
Top Bottom