Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums leo nimeamua kwa dhati nije humu kutafuta mchumba. Mimi ni muislamu ninamiaka 24 nakaribia kumaliza elimu yangu ya degree mwezi huu pia...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa, Nahitaji mwanamke wa kuoa, aliye tayari nifuate PM. SIFA: ~ Umri 18-24 ~ Elimu kuanzia la saba nakuendelea ~ Awe tayari kutafuta maisha yenye mafanikio ~ HESHIMA na UTII
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Nipo Dar kimakazi na umri wangu miaka 54. Nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye kujielewa kimaisha na awe mkweli na mwaminifu, umri usiozidi miaka 50. Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0784371889...
7 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Mimi sina mambo mengi ya kueleza, ninachohitaji ni mke ambaye tutaelewana na kuoana. Sijali dini, kabila, elimu wala kipato. Mimi ni muislamu, umri wangu ni miaka 30, sina...
1 Reactions
2 Replies
531 Views
Habarini mimi ni mgeni humu. Nimetokea kuupenda huu mtandao Nina miaka selasini (30) natafuta msichana wa kuwa naye niko serious. Vigezo vyangu ni hivi 👇🏾 MUONEKANO: mrefu wastani, handsome kiasi...
19 Reactions
57 Replies
4K Views
Nina miaka 34 mie mkristo, elimu yangu ni Diploma ya Biashara na Usimamizi. Kazi yangu ni mjasiriamali. Sifa za mwanaume awe Dini yangu umri 38-43 , awe kanizidi mie kipato naasiwe mlokole , awe...
22 Reactions
195 Replies
8K Views
Kuna Mwanamke anatafutwa, tunaomba utusaidie kutuonesha alipojificha. Kama mnavyojua, safari ya kumtafuta mwenza wa maisha ina njia nyingi, na hakuna njia maalumu ndio maana nchi zilizoendelea...
12 Reactions
51 Replies
8K Views
Amani iwe kwenu wapendwa. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima). Ni mtumishi kwenye kampuni...
30 Reactions
159 Replies
7K Views
Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 30-40 2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea. 3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake. 4. Awe na hofu ya Mungu. 5.Awe Mkristo Mimi...
0 Reactions
12 Replies
913 Views
Habari, Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu. Sifa yangu. 1. Nina mke mmoja 2. Nina mtoto mmoja 3. Nimeajiriwa 4. Muislamu Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi 1...
13 Reactions
78 Replies
5K Views
Mimi ni mtu mzima nipo hapa Dar kimaisha na nahitaji mwenza ambaye atakuwa mke wangu Mwenyezi Mungu akijalia na awe mkweli na muaminifu na muogopa Mungu na umri asizidi miaka 50 na aliye tayari...
3 Reactions
0 Replies
490 Views
Natafuta mwanamke mwenye sifa hizi: 1. Umri kuanzia 21 hadi 40 2. Yupo Dar 3. Anajitegemea kimaisha 4. Haijalishi ana mtoto au hana 5. Anahitaji utulivu wa akili na moyo. 6. Ana mawazo chanya ya...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi age 40 nahitaji mke anayejitambua na wenye hekima. Kama hujitambui kaa mbali. ***** Update soma: Nimempata mke mtarajiwa
2 Reactions
90 Replies
4K Views
Habarini wana JF, Mimi natafuta mume wa kuishi naye; ~ Mimi nina miaka 30 ~ Mnyamwezi ~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo; 1. Awe na miaka 38...
19 Reactions
140 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu? Natafuta mwanamke anayeishi na VVU. Umri l kuanzia miaka 34 mpaka 45. Kwa aliye serious anipm. Au Kwa E-mail kakumbise5@gmail.com
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi nipo hapa dar na natafuta mpenzi wa kike ambaye anaweza kuwa mke wangu, umri wake usizidi miaka 50, umri wangu ni miaka 55. Tuwasiliane PM.
3 Reactions
17 Replies
985 Views
Mwanaume nnayemuhitaji awe na sifa hizi; ~ Miaka 28 mpaka 35 ~ Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa ~ Awe mkristo, RC itapendeza zaidi ~ Mkoa...
20 Reactions
163 Replies
6K Views
Namuhitaji mke ambaye Yupo tayari kwa ndoa na siyo utani. Kama Yupo aje PM. Vigezo: 1. Umri usizidi miaka 30 2. Mkristo 3. Awe anapenda ujasiriamali 4. Mweusi na Mnene 5. Asiwe amesomea kozi...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Closed
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa; ~ Mimi ni mwanamke age 31 ~ Muislim ~ Naishi Dar ~ Nina mtoto mmoja ~ Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini ~ Nina mtoto mmoja tu ~ Natafuta...
32 Reactions
155 Replies
9K Views
Criteria; ~ Age: 23-32 ~ Shape: Neither fat nor thin,with 8 figure will be given first priority ~ Colour: Natural White or black ~ If is a single mother, should have not more than one kid. ~ Not...
10 Reactions
168 Replies
5K Views
Back
Top Bottom