Habari wana JF,
Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.
Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto...
Hello
Bila kuwapotezea muda ndugu zangu
Nahitaji mature woman
-Aged 30-40 ambaye ni very intellectual
-Mwenye focus katika maisha akiwa mcha mungu it's go point for me but
-Asiwe mtu...
29 year old guy in Dar es salaam who is
handsome and fit, can pull you up when dangling off a collapsed bridge - taller than you
my mom says im smart and funny
monogamous, trustworthy and...
Naatafuta mke awe tajiri;
~ Nina miaka 30
~ Sina mtoto
~ Nipo mkoani
~ Sina Mali
~ Nimejiajiri
MKe nimtakaye;
~ Awe tajiri
~ Umri 30 kushuka chino
~ Elimu yoyote
~ Usiwe na mtoto (kama unaye awe...
Habari ndugu zangu,
Nakuwaga najiuliza sana lini nitapata wangu wa maisha wa aina nimtakaye hata akiwa na mapungufu kidogo basi turekebishane maana mimi pia sijakamilika.
Muda mwingi nawaza...
Nipokeeni ndugu zangu
1: Sifa awe miaka 18-27
2:Mkristo
3:Mwenye heshima na utii wa kweli
4:Asiwe na mtoto wala asiwe amewahi kutoa mimba
5:Asiwe ametoboa pua, kitovu au masikio zaidi ya mara...
Hello,
Mimi ninamiaka 29, nina mtoto mmoja, najishughulisha na ususi.
Natafuta mume kuanzia miaka 30-70, awe na hofu ya Mungu, awe na upendo wa kweli, awe anajishughulisha.
Mimi ni Mwanaume miaka 28 mkazi wa Dar es Salaam natafuta mchumba
Mimi ni mtumishi wa serikali, mwanamke awe mkazi wa Dar umri 25 kushuka chini asiwe na mtoto elimu yake kidato cha nne na...
Mimi ni kijana wakiume mwenye umri wa miaka 31, mkristo, urefu ni ft 5.8, uzito 65 na sio mnene, muonekano wangu ni wakawaida, elimu yangu ni degree moja na nimejiajiri, kwa sasa na kipato changu...
Habarini wapendwa, najitokeza kwenu wana JF;
~ Mimi ni binti mwenye miaka 26
~ Naishi Kusini mwa Tanzania
~ Elimu yangu ni diploma
~ Dini yangu ni Mkristo
Hakika nimechoka upweke natamani kuolewa...
Habari zenu,
Mimi naishi Dar es Salaam, kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa.
Nina miaka 21, elimu yangu ni certificate, sijaajiriwa bado. Atakaye kuwa interested tunaweza...
Habari zanu wapendwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni binti mwenye 28 yrs, elimu yangu ni Diploma, ni Mjasiliamali, naishi mkoa wa Mtwara, mkristo, Situmii kilevi, sina mtoto. Uzito...
Habari zenu wana Love Connect,
Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect. Hivyo kutokana na hilo nina rafiki zangu wanatafuta waume wa kuanzisha nao mahusiano na...
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya...
Hello ladies and gentlemen, it is my hope that you're all doing great. As the title says hereinabove, I would like to inform you that I'm now searching for the right one(wife material or my...
Mpooo? Mdogo wangu amemaliza chuo, ana miaka 22 bado bikra, anahitaji mpenzi sio wa kumchezea, yupo Dar. Pls kama huna nia usi pm.
sifa;
Asiwe mvaa milegezo
Asiwe mvuta sigara,bangi na madawa...
Hello babe, nimekusubiria kwa muda mrefu sana, sasa nimejitokeza hadharani kukukabirisha katika maisha yangu. Please dada/mwanamke anayejielewa aje inbox chap tukamilishe agano muhimu duniani...
Mimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka...
If you are a lady with these attributes:
1. Smart (Intelligent)
2. Matured
3. Financially independent
3. Ambitious
5. Caring
And you need someone to spend quality time with, a man who is:
1...
Mimi ni kijana wa Kitanzania, ninatafuta mwanamke mwembamba, mrefu, ili awe mpenzi wangu kwa malengo baadaaye awe mke wangu.
Mimi nimesoma mpaka level ya Master's Degree na nimeajiriwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.