Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, Mimi ni mama wa watoto wawili nahitaji mwenza; ~ Umri miaka 28 ~ Makazi dar ~ Watoto wawili baba yao mmoja ~ Mwembamba ~ Mweupe ~ Urefu wastani ~ Dini mkristo Ninaye muhitaji; ~ Umri...
4 Reactions
37 Replies
5K Views
Mimi naishi A town . Ni binti bado single nafuta serious relationship. sijafika 30 ila nakaribia. natafuta mpenzi mwenye vigezo simple. 1.Awe handsome sanaa 2.Awe anafanya kazi maana hata mimi...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Natamani kumpata mume Mwenye hofu ya Mungu akiwa mkathoric itapendeza umri wangu ni miaka 28 Nina watoto wawili single mom anipende na watoto wangu awe baba awe mtafutaji ambaye yuko interested...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30, nina diploma ya B.A, sina mtoto na wala sijawahi kuoa. Mimi ni mkristo RC na nakaa Dar, nimeajiriwa kwenye kampuni binafsi, nahitaji mwanamke mwenye diploma au zaidi na...
0 Reactions
3 Replies
702 Views
Mimi ni mdada wa miaka 37 sina mtoto, natafuta mume wa ukweli. Mimi ni mkristo, elimu yangu form six, mjasiriamali mdogo. Mwanaume awe na miaka 35 na kuendelea. Njoo PM tuongee kisha...
16 Reactions
63 Replies
4K Views
Hajapatikana bado
4 Reactions
14 Replies
958 Views
Hello
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Awe mwanamke...Mwenye Hofu ya Mungu, uzuri wa wastani, urefu wa wastani. Dini yoyote ndani ya Ukristo. Umri wake kuanzia 27-30 Awe hajawahi kuolewa pia asiwe na Mtoto, Ila awe na Uwezo wa kuzaa...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Mimi ni mdada nahitaji mume wa maisha. Sifa zangu: Miaka 32, mchristo, mwajiliwa, mdada wa kawaida tu nisiye na mambo mengi. Sifa za nimtakaye; Mwanaume miaka...
33 Reactions
79 Replies
12K Views
Anahitajika mke chini ya miaka 32, awe mnene kiasi, Popote alipo, Namba hiyo hapo 0764125128
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Nmeona nitoe mrejesho JF is full of matured women if you look well you can find yourself a very beautiful wife in here just be a man of focus and nini wataka i mean stay focused on your goals ...
7 Reactions
16 Replies
829 Views
Hello! Mimi ni mwanamke Umri 34 Mkristo Mtumishi wa umma Elimu ya juu(degree) Sijawahi kuzaa koz sijaolewa. Natafuta mwenza awe mkristo, umri 35 mpka 50, awe mtafutaji karibu
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Nahitaji mume serious Sifa zangu -elimu shahada ya kwanza -nimeajiriwa serikalini -Mkristo -sijawahi kufunga ndoa wala kuzaa Nahitaji mwanaume alieserious ili awe mwenza wangu Sifa!- - Miaka...
18 Reactions
73 Replies
9K Views
  • Closed
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana...
42 Reactions
462 Replies
124K Views
Sina maneno mengi Sifa zangu: 25yrs Maji ya kunde Sina kazi Muislam Ninayemhitaji: Kuanzia 28-32yrs Rangi yoyote Awe na chochote cha kumpa rizki Muislam Karibuni
16 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari wadau... Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe. Sifa. Awe muislam Miaka kuanzia 40...
12 Reactions
130 Replies
9K Views
Nipo dar ,Nina miaka 27 ,nahitaji msichana mcha Mungu , sichagui dini japo akiwa mkristo itakuwa vema zaidi , awe na umri 18-30 , Elimu sichagui , nahitaji wakujenga nae familia na kuoana kabisa...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Mimi ni mwanamke wa Kitanzania nimeajiriwa taasisi ya kiserikali lakini kutokana na kusoma nimechelewa kupata familia nahitaji mwanaume mwenye nia ya kuwa na mke asiwe mume wa mtu asiwe chini ya...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari Wana Jf, Nikiwa na ufahamu kamili na akili timamu ninajitokeza kuweka wazi nia yangu ya kuhitaji mume.Kwa upande wangu Mimi; - Mkristo -Miaka 31 -nina mtoto mmoja -Degree moja -muwazi na...
6 Reactions
64 Replies
7K Views
Habari zenu JF users, Mimi ni mwanamke miaka 33, ni mkristo. Niko hapa jukwaani kutafuta mwanaume mwenye kujitambua. Itapendeza umri kuanzia miaka 33, awe mkristo na mwenye hofu ya Mungu. Akiwa...
7 Reactions
77 Replies
6K Views
Back
Top Bottom