Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa F mwenye umri 36, dini mkristo, kazi nimejiajiri, mrefu kiasi. Natafuta mke wakuoa mwenye sifa hizi; Umri - 33-38 Dini- Mkristu Elimu - Kidato cha sita na kuendelea. Mtoto - Akiwa naye...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Hello Wana JF, Natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni 37, dini mkristu, kazi nimeajiriwa, sina mtoto, situmii kilevi chochote, elimu yangu ni chuo kikuu. Sifa ya Eva ninaye mtaka; ~ Awe na umri...
4 Reactions
12 Replies
904 Views
Naitwa Scola, nina miaka 32 nimejiriwa kwa Government na ni degree holder Natafuta mwanaume ambaye naye anatafuta mwenza kuanzia miaka 35 - 50, awe mkristo anayejishughulisha.
9 Reactions
32 Replies
4K Views
Nahitaji mwanamke msichana ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe. Mimi Nina miaka 32 Mjasiriamali Mkazi wa Dar es salaam. Mkristo Mnene kiasi,maji...
1 Reactions
5 Replies
841 Views
Naitwa NALIA NGWENA Jinsia: me Miaka yangu: kijana Kazi: dalali/unga unga mwana/harakati za hapa na pale/kubeti ndiyo kazi zinazoniweka mjini. NB: nahitaji mdada serious aje akonge moyo...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Wanajamvi, narudi kwenu! Guys, I have been specific and decided not write in Swahili, to get the right person. I guess by this, only interested parties will come to my PM. You don't meet the...
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Natafuta mchumba, nna miaka 26 naishi mwanza, awe anaishi mwanza, umri, 20-24. Mawasliano 0624298059
1 Reactions
8 Replies
708 Views
Assalamu alaykum Wana jamiiforums Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke. Sifa. 1. Asiwe...
6 Reactions
42 Replies
2K Views
Kwa aliye tayari kwenda kwenye hatua hii. Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume, kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa. Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni...
53 Reactions
280 Replies
13K Views
Habari zenu!!! Natafuta mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious. Awe anaishi Dar es Salaam Sifa kuu na ya kwanza awe ana asili ya kiarab au colored wa asili yoyote. Umri kuanzia miaka...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, ni matumaini yangu mko poa, kwa nia ya dhati kabisa nakuja kwenu kumtafuta mchumba ambaye tukiridhiana tufike hatua ya ndoa. Mimi ni mkristo nampenda Yesu Level ya elimu Diploma Nina...
1 Reactions
16 Replies
900 Views
Niliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja...
12 Reactions
175 Replies
14K Views
Hi! Kabla ya yote, acha nijihami, msiniseme jaman na mm nina moyo Nahitaj mkaka mstaharabu, miaka 28- 35 tu, awe mkristo, mweusi, aishi Dar, au Dodoma awe na hofu na Mungu pia na kazi, Asanteni
11 Reactions
62 Replies
2K Views
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa. Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education. Dini...
26 Reactions
370 Replies
34K Views
Naishi Dar es Salaam Nina watoto 3 Nafanya kazi na Biashara Elimu ya chuo Umri wangu 42 Dini Yangu Mkristo. Niko hapa kutafuta Mke halali wa ndoa, Umri kuanzia miaka 30+ Asiwe na mtoto/watoto...
2 Reactions
6 Replies
648 Views
Mimi ni kijana wa makamo, nimehamishiwa Dodoma kikazi, sasa nimejikuta nipo huku camp nje kabisa ya mji, nimekuwa mpweke sana maana huku tupo midume mitupu mpaka, Na ninavyojiona si muda mrefu...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanajamii, salaam! Naomba kwanza kwa kuwa sio kila post unayoiona u comment, comment inayokuhusu tu au ulioombwa ushauri. Mimi ni mwanaume, -miaka 38 -rangi chocolate -mkristu Ninahitaji la...
2 Reactions
5 Replies
473 Views
Habari Natafuta mchumba kisha awe mke, Mi ni kijana nnaye karbia miaka 40, Nna watoto wawili, kwa mama mmoja nliyeachana nae takriban mwaka na nusu toka sasa. Nafanya kazi taasisi moja ya...
2 Reactions
6 Replies
613 Views
Back
Top Bottom