Wakuu kama heading ilivyojieleza hapo juu!Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nahitaji mchumba awe na umri wowote ule ili mradi awe yuko tayari kuishi kindoa.
Kwa mambo mengine tutaelezana pm...
Habari,
Ngojea niwaambie kitu, kwanza fahamu kabisa humu kwenye mitandao huwezi kumpata yule mtu ambaye ni mwema kwako bali ni wale wa kuwachezea na kuwaacha...kama ndio hivyo me ushauri wangu...
Natafuta rafiki wa kike.
1. Awe open minded
2. Mwenye hofu ya Mungu/ Mcha Mungu
3.Umri miaka 20 kuendelea
4. Awe anajiheshimu binafsi
Kwa aliye tiyari tuwasiliane PM.
Karibu sana,.
Nlikua na mpenzi wangu nampenda sana cha ajabu kaniacha nakuoa mwanamke mwingine na akuna nilichowahi mkosea alinbadirikia ghafla.
Nkakumbuka ule usemi wa unaempenda akupendi, tatizo ni bado...
Natafuta mwenzangu wa kuwa nae ila awe hapa UK niko mpweke sana na napenda rangi kama mimi sio mzungu. Alieko karibu anitumie kijiujumbe tuweze kuwasiliana na kusogeza maisha mbele.
Elimu yangu...
Natafuta Mchumba Wa Kike, Awe Na Umri Usiozidi Miaka 26, Awe Anajitambua Na Mkweli.
WASIFU WANGU
Nina Miaka 26, Mkristo, Mweusi Na Handsome Inshort Najikubali, Nampenda Mungu, Ni Muajiriwa...
Any serious girl who is interested in new everlasting relationship pm ur no this is not a joke. Stay focused age btn 18-27 remember good life starts with gud friends.
Change your life you will...
Mimi mwanaume, umri wangu miaka 30,mjasiriamali.... natafuta mwanamke mwenye kazi au kajiajiri, hard workn, mwaminifu, mwenye upendo sio mchoyo, mapenzi ya dhati umri kuanzia 20 hadi...
Jamani wana JF, natafuta mwamke wa kuzaa naye mtoto mmoja tu. Mimi ni mwanume miaka 37 na ninaishi Arusha.
Nipo tayari kupima naye na niko tayari kule mtoto lakini siyo kuoana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.