Nimerudi toka shule nilikokuwa nafanya PhD yangu. Nimeamua kutafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu. Napenda awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 35. Kabila lolote. Rangi yoyote. Dini mkristo na...
Nashukuru baada ya kuweka tangazo kwa mara ya mwisho wamejitokeza wengi. Na nimefanikiwa kumpata mtu wa interest yangu mpaka sasa tunafanya mawasiliano kwa mara nyingine nitaonekana hapa jukwaani...
jaman wana jf mm ni kijana wa miaka 24 n mwanafunz wa chuo flan mbeya nahitaj sana kuwa na mchumba lkn nimekuwa muoga sana kutongoza nahisi kama ntaonekana nadanganya
Habari zenu wandugu, natumai mko salama.
Naomba kuwasilisha kama nilivyoagizwa nina rafiki yangu kipenzi amechoka kukaa single kwa muda mrefu xo anatafuta mwanaume aliye single pia, mkristo...
Jama mimi nahitaji gf ambaye atanifaa kindoa na kimaisha ndani na nje mwanzo na mwisho juu na chini shida na raha napatikana zanzibar namba yangu ni 0774368196
Baada ya kuvumilia na kua na subira, natangaza rasmi kutafuta msichana atakae kua ubavu wangu wa maisha.
Sifa
Dini: mkristo
Umri: miaka 20-28
Tabia: upendo & mvumilivu
Umbo: la wastani...
I'm energetic man aged 32 yrs wth average body type,degree holder,employed & lives in Dsm. I'm single wth no kid but I deserve 2 be a lovely Dady who is able 2 take care 4 a family wth presence of...
Naitwa Mwl Kimaro nafundisha Sec moja ipo Moshi vijijjini nimekua nikipata tabu kweli kwenye suala la kuchagua mke kama mnavyojua fani yetu hii bila mke hawa watoto watatufunga.
Natamani kuoa...
Natafuta mchumba kutoka Tanga au mwenye asili ya pwani....
Nafahamu ni ngumu sana kupata mwenye mapenzi ya kweli kutoka mtandaoni..tuwasiliane hapo chini tuone tutafika waoi
Mawasiliano...
sifa:
umri kuanzia 25-35
elimu kuazia kidato cha nne
dini mkristo
asiwe na kazi ya kuajiliwa,awe amejiajiri
awe tayari kuishi mkoa wowote wakati wowote.
asiwe na mtoto.
awe na tabia...
Habari!!kama wewe ni mdada uliye single na upo huru naomba ni PM tufahamiane tuwe friends na kuelekea kuwa wapenzi kama tutaendana na kukubaliana!! asante kwa uelewa karibu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.