Bila hiana napenda kuleta mrejesho ila kuthihirisha tabia ya mtume mwema!
Ni takribani mwaka sasa baada ya kupitisha mabango yapatayo mawili kutangaza kumsaka mwenzangu nisiye mjua kwa kudhani...
Ulimwengu wa mapenzi ni waajabu sana.Ni wenye furaha unapopenda ukapendwa
lakini pia ni wenye karaha na maumivu pale unapopenda usipopendwa.Moyo hukosa raha,pia unakosa maamuzi yaliyosahihi yote...
Habari,
Mimi ni kijana Mtanzania,mbena wa Iringa. Natafuta mwanamke asiyezidi umri wa miaka 31 lakini ambaye hana uwezo wa kuzaa(tasa) mimi tayari nina watoto wawili na kwa bahati mbaya siishi...
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na...
Nina miaka 25,
Muajiriwa.
Elimu yangu ni shahada.
Mkristo mcha mungu.
Niko mbeya.
Nimtakaye awe na umri kuanzia miaka 28 had 35.
Elimu kuanzia form six,
Mwajiriwa au aliyejiajiri,
Mkristo...
Sifa
1. Elimu angalau form 6
2. Umri usizidi 27
3. Usiwe mfupi sana
4. Dini yoyote
Mimi:
Mrefu, Mweusi, Bachelor degree holder, Nina company, Nyumba tatu Mbezi beach, Hotel Moja, Hummer 1...
habari zenu wana JF? hakika hakuna jukwaa tamu kama hili,ukiwa JF unakuwa dunia nyingine on the other hand,jamani nataka ajitokeze mwanamke mrembo mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35...
Naitwa Mwl Kimambo nafundisha Moshi secondary nimekua nikipata tabu kweeli kwene suala la kuchagua mke kama mnavyojua fani yetu hii bila mke hawa watoto watatufunga natamani kuoa Mwakani Akiwa...
mim nina miaka 24,nina ishi dar,ni mrefu kias,pia nimjasiriamali,natafuta msichana mwenye umr kuanzia miaka 18-25 awe ana ishi dar'.Tafadhal ni PM tupeane contact
hi wapendwa, mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 24. Nimemaliza degree yangu ya kwanza mwaka 2013 chuo kikuu cha Dodoma (UDOM). sasa nimefanikiwa kupata kazi NSSF Dodoma kama assistant...
HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI NAHITAJI MWANAMKE MSTAARABU TUWE TUNAKUTANA NAE FARAGHA SIKU ZA JMOSI MCHANA TU.KWA ALIYE TAYARI KARIBU.KAMA HUHUSIKI PITA KIMYA.SHUKRAAAAAN:A S wink:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.