Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari Wadau wa jamii foroum, natafuta mchumba ambae atakuwa tayar kuwa na mm kwa shida na raha hadi kufikiya lengo la ndoa, niko zanzibar town, Bableyy 0777 790279
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Hello Umri wangu 29yrs, nahitaji mwanamke si mrefu wala mfupi sana, si mnene sana ni wastani umri kuanzia 20-27. Awe muajiriwa au kajiajiri
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi Ni Mdada, Mtanashati, Makini, Mwenye Tabia Njema, Mwenye Msimamo na Mtazamo Chanya wa Maisha! Ukiwa na Sifa Hizi zifuatazo ni PM. Seriously Candidates Only! 1; Single 2; Rangi- Maji ya...
6 Reactions
131 Replies
17K Views
Habari zenu humu ndani. Natafuta mchumba awe gentleman,msomi wa chuo kikuu,mkristo mwenye hofu ya Mungu,mchapa kazi yani asiwe mvivu,awe wa kimo chochote lakini ariwe mfupì sana na atakae kuwa...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Nina miaka 24, natafuta mke mwenye miaka 30 awe Morogoro. Namba: 0658207157
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye yupo serious kuoa, mm ni mkristo na nna elimu ya ngaz ya cheti na nimeajiriwa kaktka kampuni moja kubwa dsm sifa za mwanaume...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Jamani nipo seriously natafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae make nae maisha, mimi ni muajiriwa serikalini awe kati ya umri 17-22,mimi ni mrefu kidogo na ni maji ya kunde, so sihitaji...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye kipato changu cha kutosha tu na nimeajiriwa Serikalini, nimejitokeza hapa kutafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae weza kuwa nae maishani, umri ni 17-22 uwe na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Any where i gate wife material,, mimi naamini hilo!! kama yupo msichana anaye amini yeye ni wife material, yupo single na ni mpweke anahitaji kuingia katika serious relation naomba PM yako, hata...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
mwanamke 30-40 kwa mahusiano ya muda mrefuu 0682426894
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji mwanamke aliye serious kuolewa, awe mkristo, anaishi dar,mwajiriwa au Mjasiriamali, hata kama ana mtoto,elimu awe na degree na awe na miaka kuanzia 26 hadi 35. Njoo PM tuzungumze .
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kichwa kinajieleza hapo juu Natafuta rafiki wa kike ambaye ameokoka na ana hofu ya Mungu ndani take, mimi ni mwanaume nina 27yrs old. nitumie PM
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni muislamu na mwajiriwa wa serikali, Nina miaka 37 na mtoto mmoja wa kiume, Ninahitaji mume mwislamu kuanzia miaka 38-50, Ninaishi Dares salaam, kwa aliyetayari tuwasiliane kwa namba...
1 Reactions
68 Replies
9K Views
Mimi nikijana nimekuja ktk hili jukwaa kumtafuta mpenzi anaye jua thamani ya mapenzi pia mwenye kujiheshimu sina vigezo vigumu awe mtafutaji wa maisha/awe anafanya kazi maelezo zaidi aje PM asanteni
0 Reactions
0 Replies
3K Views
umri wangu 28 mwanamke nae mtafuta atoke maeneo ya moshi,arusha kilimanjaro itakuwa poa kwan m npo maeneo haya kama upo tayar npm tubadilishane macontacts tayar kwa mawacliano.
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Baada ya kuturia nikiskilizia maumivu ya kutendwa hatimae leo nimerudi tena nna imani sitoumizwa tena Hivyo basi natafuta mchumba wa kike {girl friend}ambae atakuja kua mke wangu Umri wangu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam zako mwana Jf Wadau niko hapa kumtafuta mpenzi wakuanzisha nae hot love awe mkazi wa hapa dar sio mkoani jina kamili naitwa France umri Wangu 32 mimi ni tall majikunde mwembamba wastani...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
hii ni kwa yule mmoja tu alie silias naitwa Okole 22 age mrefu , mnene kiasi ,maji kunde na tafuta mwanamke Wa kunilea nikimaanisha awe na uwezo kimaisha ili niwe Wa kumfurahisha kimapenz...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepwekeka vya kutosha naitaji kuwa na girl friend plz. Kwa mwenye uitaji plz anicheki kupitia "0713148846" Mi ni kijana wa miaka 27 naisha dar! Naemtaka pia awe mkazi wa Dar Sichagui kabila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom