Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa James, napatikana Iringa, umri wangu ni miaka 26, sijaoa na ni mwanaume, nimejitokeza kwa mara ya kwanza hapa kutafuta mchumba mweupe wa kabila lolote ila asiwe anatokea mbali sana toka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari. Mimi ni kijana wa miaka 29 naishi Kinyerezi nafanya kazi kwenye kampuni binafsi, natafuta binti awe mchumba ambaye atakuwa mke baada ya kufanya taratibu zote. Awe na sifa zifuatazo Umri...
0 Reactions
3 Replies
992 Views
Habiri wakuu, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka isiyozidi 29 lakini haipo chini ya 25. Natafuta rafiki wa kiume mwenye Umri usiopungua miaka 30 but usizidi miaka 45. Awe anapenda kusocialize...
7 Reactions
121 Replies
17K Views
Nataka awe mpenz wang wa kudumu,awe above 40yrs,mi mwenyewe nipo 32yrs,asiwe na mume, kma umeachka au mjane itakuwa poa,aliye tayar aache namba hapa nitampigia.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa..... NATAFUTA MUME Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke. Nimetoka kwenye...
1 Reactions
150 Replies
28K Views
Alie tayari ajitokeze hapa
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Miaka 21-26 kama upo free hauna mme unapenda kuliwazwa na kustahareheka nipm. Vigezo ni msichana tu kabila lolote, rangi yoyote, dini yoyote karibu we dada.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Natafuta mume awe God fearing, mrefu kuniliko na real Age 30-35 yrs.
2 Reactions
78 Replies
5K Views
Habiri wakuu, Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka isiyozidi 25 lakini haipo chini ya 21. Natafuta rafiki wa kike mwenye Umri usiopungua miaka 20 but usizidi miaka 35. Awe anapenda kusocialize...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
He who roughs first roughs longest What goes around comes around An empty sack never stands up right
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, elimu ya wastani, maji yakunde, mkristo, Natafuta binti mwenye heshima, anayejipenda, anayejua kupika,anayependa usafi, mweusi/ maji ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wadau wa love connect, mm ally niko Zanzibar, nina miaka 26, Nimemaliza degree nafanya kazi natafuta mchumba kwa lengo la kupanga maisha hapo baadae tukiwa wote na kufunga ndoa. Sifa za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28 sijaoa natafuta mke nipo sirias nimeshajipanga vya kutosha nikimpata ndoa december 2014 kama kuna dada yupo tayari kuolewa tafadhali wasiliana nami kupitia email...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Tupeane kampani ile masaa yasogee
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Umri awe kati ya 18-22,anipende nami nitampenda,awe tayar kuja nilipo,
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Na
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
I am in Mwanza right now, natafuta binti aliye around Mwanza for dating ..... awe around 20's .... kama hujaupenda ujumbe usitukana bt u may criticize coz critics are not book writers. au weka...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Natafauta rafiki wa kike nicheki kwenye PM
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Je kuna sababu ya kumuonea wivu mwanamke ambaye hujamkuta bikra? (si maanishi mke)
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom