Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana mwenye umri Wa miaka 27 natafuta rafiki Wa kike ammbae tukikubaliana tuwe wachumba. Nafanya kazi katika kampuni ya mawasiliano hapa Dar. Aliyeteyal ani Pm
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Natafuta mwanamke jamani, upweke umenizidi, ambaye yupo serious ani pm
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari waungwana, I am 25 kwa umri. A girl, looking for a serious relationship, am a banker, 2 yrz in work, alie serious tafadhali ,ready kwa kuanzisha uhusiano wa kudumu, na kulifikia lengo la...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, hivi linapokuja suala zima la kutafuta mke au mume dini huwa haizingatiwi? maana kuna matangazo humu huwa yananishangaza, unakuta mtu anabandika katangazo cha kusaka mke/...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 34 natafuta mchumba mwenye sifa sifuatazo kwanza awe mcha mungu pili elimu ya kawaida tu asiwe mlevi.mwenye kubadilika kutokana na wakati. Mwenye kupenda maendeleo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke ambye akotayari nime mahaba motomoto naye anipe pesa.tafathali matusi sitaki maisha ni yangu.
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Mimi in kijana wa Kitanzania na tafuta msichana wa kuoa tukiridhiana awe dini yeyote awe mywaji kidogo elimu Form six, chuo. Aliye tayari ani PM tutawasiliana zaidi popote alipo nitamfuata
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Natafuta mke mwema, mcha mungu mlutheri, mchagga, mweupe, awe anashughuli zake binafsi au ameajiriwa, awe na elimu ya kidato cha 4 tu na si zaidi. Awe tayari kuanza maisha kuanzia ngazi ya chini...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nna miaka 27 natafuta mchumba mwanamke mwenye akili ya kawaida tu ya kuwa mama...ataevutiwa ni pm Mawasiliano tulidhiane tufanye maisha
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu bado kupata natafuta mwanamke niwe nakutana nae siku za wee end natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
938 Views
  • Closed
Mimi ni mdada nina miaka 32 natafuta marafiki wa ukweli wa jinsia zote wenye umri kati ya miaka 32 na kuendelea nafanyakazi, Naishi dar tuwasiliane kupitia bintiwakikwere@gmail.com
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Me nipo dsm vigezo awe mkristo umri miaka 18 had 20 pia Elimu kidato cha 4 had cha chuo mwaka wa kwanza by then am 21 yrs old ukiwa tayar ni @pm
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 38 na elimu yangu ni shahada natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo ya kimaisha. Masuala ya ngono hapana. aliyetayari ani PM.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu,natafuta demu wa kufurahia naye maisha.sitamuoa labda itokee miujiza,umri ni wowote ule ila usizidi 28 years
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu: Ninatafuta msichana aliyeserius na maisha , ikiwezekana tutaoana. Awe mwenye umri kati ya 21-27. Kwa urahisi wa kuonana, akiwa anatoka kanda ya nyanda za juu kusini, moro na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Awe anaishi Zanzibar(Unguja au Pemba) Mwanamke mwenye vigezo vifuatavyo:- -Kipaumbele uwe Umri kuanzia 35-55 (chini ya umri huo itafikiriwa ili kujua kiwango cha usumbufu) -Watoto sio tatizo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
aboy aged 23.looking for abeautifull sugermumy all over the world.my email are jasperkandakome@gmail.com or conterct me on +255753638460.im da price of love baby. WELCOME TO NEW WORLD
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Napiga hodi wana JF humu mnikaribishe Ila nitafurahi sana endapo nitakaribishwa kwa kutimiza ndoto ya maisha yangu, mimi nipo single,ni mwanaume wa miaka 26 natafuta mchumba mdada mwenye mapenzi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nina hamu sana ya kumpata mchumba mwenye mapenz ya kweli, niliyekuwa nae kanikataa kisa kumwambia naenda kusoma.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom