Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hey guyz!natafuta msichana wa kumuoa,sifa 4m 4 mcha Mungu mwaminifu mvumilivu wakuanzia 1990-> mwenye kuhitaji mawasiliano zaidi aninbox.
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Umri wangu ni kati ya miaka 35 na 45 pato langu kwa mwaka ni kati ya tsh 30m na 60m natamani kupata dada/mama ambaye hataona shida kupata nae mtoto moja tu. Nataka atakeyependelelea awe na kazi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Si mchumb. Ni mke. Nadhani tutaulizana mengi huko chemba
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni mwajiriwa serikalin natafuta mke wa kuoa . Kwa sasa nipo mwanza kikazi Sifa Mwislam na mcha mungu Umri 20-29 Kabila rangi sibagui Elimu kuanzia form...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Staki kuzubaa miye. Nami natafuta. Natafuta mwanamke ambaye tutakuwa marafiki kwanza halafu polepole kuhamia kwenye uhusiano wa kimapenzi. Papara staki. Nataka kwenda tartiibu. If interested...
2 Reactions
91 Replies
8K Views
Kuna dada niliwahi kujuana naye hapa janvini anaitwa Rehema anaishi Nyasa,lakini bahati mbaya nilikuwa safarini kuelekea Tanga na mbaya zaidi nilipoteza simu na hivyo kupoteza mawasiliano naye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta msichana na mie kwa urafiki kwanza, na tuki click, tutaanza mapenzi. Naishi nje ya Tanzania ila ningefurahi kama wewe unaishi Tanzania, tunaweza kutembeleana nilipo au ulipo wewe. Sichagui.
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Ak
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa kitanzania. Natafuta mchumba. Umri miaka 22-29. Umri wangu ni miaka 33. Elimu yake iwe kuanzia Diploma.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadada wa JF mnanichukia hivyo au kwa sababu ya post zangu za kuwananga ,huwa nawatania tu maana nimepost kutafuta mke humu naona mnapita kimyakimya no like no reply no PM msinifanyie hivyo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi Ni Kijana Mwenye Miaka 24 Natafuta Msichana Wa Kuoa mwenye Sifa Zifuatazo. 1.Umri Ni Kuanzia Miaka 18~22, 2.Awe Na Tabia Nzuri 3.Asiwe Anapenda Sana Pesa 4.Asiwe tapeli...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Awe Na Umri Kati Ya Miaka 18 hadi 20, awe ni mkristu,na awe ni mtu wa kujielewa na kujitambua. tuwasiliane kwa Email: boniphace10@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nipo dar natafuta girlfriend wa kuchat nae,kushare nawe mambo mbalimbali alye interest ani PM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa devi,natafuta mpenzi(girlfriend) kati ya miaka 18 hadi 30. Nina kazi na najitegemea number yangu 0718949593,ni beep nitakupigia.
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Kwa binti aliye tayari tu kuolewa na mwenye kazi iwe ya Ualimu, Nurse au kazi yoyote halali namkaribisha sana. Awe serious tu katika hili, aliye tayari ni-PM. Hii ni kwa mabinti/wanawake tu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari. Kwa moyo mweupe kabisaa bila kulazimishwa na mtu yoyote, nimeamua kupost huu uzi hapa nikiamini ntakuwa faraja kwa mmoja wa wahusika hawa. Mwanaume ulieumizwa kimapenzi au kukosa furaha...
5 Reactions
47 Replies
4K Views
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga. wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time...
23 Reactions
409 Replies
51K Views
Nina miaka 45,nina nia thabiti na ya kweli kabisa,nipo hapa natafuta mke ambae yupo tayari kufunga ndoa.Sina ubaguzi wowote,mwanamke ninaemuitaji awe na dhamira ya kweli kufunga ndoa na si...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke awe na umri wa miaka 20 mpaka 35. nitampa mapenzi moto moto, sibagui dini wala kabila wala upande wa muungano atokao. wala mkoa. taratibu za kujitambulisha tutazifanya baada ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutana na kijana anayependa wanawake wanene hapa. Uwezo wa kumtosheleza ninao. Nitafute hapa 0757191544 Nipo DSM.
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom