Habari zenu wadau,
Mimi ni Mvulana wa miaka 28, Natafuta Mchumba wa kufanya nae maisha, awe na umri kuanzia 20 - 26, kabila lolote kasolo Mzalamo, Awe mkristo mwenye kumuogopa Mungu, hata...
Natafuta mume WA kunioa tuishi milele inshaala awe muislam,,,umri uwe kuanzia 35 NA kuendelea sitojali kama unamke,,,,maisha yawe at list uwe unayamudu,,,,,awe anaishi far au sehemu yoyote sijali...
Awali ya yote namshukuru Mola muweza wa yote.
Pili naishukuru JF kwa kuanzisha jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Bila shaka jukwaa hili limeunganisha wapenzi wengi,japo ni jukwaa ambalo baadhi ya...
Wadau Kama Title Yangu Inavyo jieleza,nahitaji Girlfriend Awe Under 22yrs Same To Me So Nahitaji Girlfriend Wa Umri Huo Ili Tuweze Kwenda Sambamba,
Mengine Zaidi Tutafahamishana Kupitia...
Natafuta mtoto mzuri anaejua namna ya ku enjoy mapenz awe na english figure,mweupe, collage au high school,christian,umri miaka 20-23 akinata na beat nikinata na beat basi ndio wife huyo....cause...
Nina miaka 37...Hawe ni mwanamke anayejitambua na anajua maana ya maisha anayejali na kutambua umuhimu wa mwenzake katika maisha.
Nina jiheshimu na ningependa Kupata mwanamke wa haina hiyo...
uko wapi ubavu?
Mume muislamu,umri wake miaka 30-35.Awe mwajiriwa au shughuri yoyote inayomwingizia kipato,mrefu mwili wa wastan,kabila lolote.
Rangi yeyote ila akuwa mweupe itakuwa vema.AWE NA...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wazi.
Kwa jina naitwa Milembe Anthony-24 yrs.
Pia ni mawanafunzi wa shahada ya kwanza katika elimu na utawala chuo kikuu cha mzumbe kampasi kuu Morogoro...
Habari
Naitwa Nelson Richard wa Arusha, ni kijana mcheshi, mwenye bidii na ninaye heshimu watu.
Nina elimu ya chuo na kazi ya ofisini. Kutokana na majukumu ya kazi nakoswa muda wa ku-mingle...
Habari wadau, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu na sasa natangaza rasmi nahitaji mke humu ndani nipo Mwanza nina 30yrs nimeajiriwa nahitaji mwanamke anayejitambua asiwe mnene...
Habari!
Naitwa Nelson Richard wa Arusha, ni kijana mcheshi, mwenye bidii na ninaye heshimu watu. Nina elimu ya chuo na kazi ya ofisini. Kutokana na majukumu ya kazi nakoswa muda wa ku-mingle hivyo...
Hi all, I'm a single gentlemen, social, energetic, hardworker with vision hereby looking for a single lawyer to initiate a relationship with intention to create a Domestic relationship. The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.