Mimi ni mwanaume age 26 mkiristo na msukuma ninaishi dar hadi mwakani mwezi wa tatu.
Msichana aliyesiliazi, mkristo.
Age 27 aliyepo single elimu form 4-bachelor.
Askari na manesi siwataki...
Hi! naitwa Jaffery Adam, ninaumri wa miaka 21.
Natafuta rafiki wa kike, awe na miaka 19-23 awe mwembamba kiasi. hatakama hana kazi, awe na upendo wa kweli.
ukiwa tayari unanipata kwenye no...
Ni matumaini yangu kuwa nyote ni wazima.
Kama title inavyojieleza hapo juu, kifupi mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo;
Nina umri wa miaka 27, ni university graduate, athletically si mrefu sana...
Jamani hata mimi nahitaji mwanamke wa kuoa niliyokuwa naye alikuwa matumizi ya hapa na pale kama burudani.
Nipo serious na hii ishu ya kuoa maana nimechoka kuibaiba visivyo halali.
SIFA ZA...
Kwa niaba ya Rafiki yangu Othman, natoa nukuu ifuatayo kwa kinadada.
Ninatafuta Mchumba muislamu mwenye kati ya umri wa miaka 23 hadi 2, awe na sifa zifuatazo: Muislamu wa kweli, mwenye heshima...
Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mrembo humu ndani.
Vigezo.
Umri kuanzia 18~22
Awe mrefu wa wastani ila sio sana , na hata ukiwa mfup kama kistur sio mbaya
Awe mweupe natural...
Mimi ni kijana,mwenye umri wa miaka 32, mtanashati, muelewa, mwajiriwa wa serikali.
Natafuta mwenza wa kike ambaye atakuwa mke wangu, awe at least Diploma level and above, awe mweupe kiasi...
Wadau na hasa wadada
warembo wa MMU,poleni na majukumu.i'm not an active member of this site,just logged in for a special mission.
I'm tired of of this lonely life, so i have come here to look...
Hellow friend,mimi ni msichana mwenye miaka 25,natafuta m2 aliyetayari kunioa.
sifa
awe na miaka kuanzia 27-33
awe na elimu kuanzia degree1 au mjasiliamali
mwenye mapenzi ya kweli
awe...
Najitokeza hapa maalumu kwa jambo moja tu, Natafuta mke mwema, mcha mungu, awe mfanyakazi na awe na umri wa kuanzia miaka 20 -26, aliye serious tu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28...
Ni matumaini yangu kuwa nyote ni wazima.
Kama title inavyojieleza hapo juu, kifupi mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo;
Nina umri wa miaka 27, ni university graduate, athletically si mrefu sana...
Ni matumaini yangu kuwa nyote ni wazima.
Kama title inavyojieleza hapo juu, kifupi mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo;
Nina umri wa miaka 27, ni university graduate, athletically si mrefu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.