Wapendwa nin miezi mitat sasa tangu nianza kaz mkoa wa kigoma my age 25, brown colour, long nose chaga by tribe
kwa kwel npo so much lonely if thre is a lady out thare plz let we be friends...
Naitwa idrisou , napatikana Moro ila zanzibar ndio nyumbani. Natafuta mpenzi wakike ali hali anipende nimpende maswala ya dini kabira sijari. Umri wangu 24.
Bado mwanafunzi nasoma chuo Mzumbe...
Mimi mwanamke nina miaka 31,
Natafuta mume wakunioa awe na miaka 33
Nakuendelea nina mtoto mmoja
Nahitaji mkristo awe na kazi ya kueleweka ,
Ukiniona hauwezi kuamini mpaka nikuambie...
Habari wadau,
Kwa muda wa kama miezi 3 nimefanya kazi bila kupumzika mpaka ilifika wakati nikaamini haitatokea na mimi nipate muda wa kupumzika.Hapa nilipo ijumaa ndo naanza mapumziko,naiona...
1. Awe mkristo
2.Awe graduate
3.Awe na umri aidi ya miaka 32
4.Awe tayari kupima afya
5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa
6.Awe mrefu wa futi 6.
7.Awe anajitambua kuwa yeye ni...
habarini za j2 ndg zangu, namshukuru mungu kwa ibada njema ya siku za leo!!! napenda kuwasalimu wote!!
awali ya yote mie ni mgeni humu ila sio mbaya sana mwanzoni kabisa nikaeleza nini haswa...
Ni kijana wa umri 28
Nipo hapa kutafuta binti umri 20-27 for future life.
Mimi ni muhitimu wa chuo na nimejiajili.
Natafuta binti form six nakuendelea, mkristo na aliye serious.
Kama upo...
Nataka mwanamke tutakae anza nae na mungu atujalie tufunge ndoa,
Dini sio ishu
Awe muelewa na
Ajue nafasi yake kama mwanamke
Umri usizidi miaka 25.
Tafadhalini kwa wanawake tu.
Mimi ni kijana wa kiislam umri wangu ni miaka 29,
Mrefu wa wastani,
Rangi mweusi,
Kabila msukuma.nina degree moja na nimeajiriwa serikalini.
Sina mtoto wala mke.Naish dar.
Sifa za mtu...
Habari,
Wiki hii au ijayo...Natafuta mwanaume anaejua kuogelea maji mafupi na maji marefu,
Nahitaji mwalimu mzuri,
Awe mrefu kidogo,mwili wa mazoezi!,asiwe mweupe sana,akiwa mweusi ni sawa ila...
Ni mama wa miaka 40 na ni mwajiriwa wa serikali katika halmashauri. Ninahitaji mchumba mwenye miaka 45-55,
Kwa aliyetayai anianike gloriafrancis60@yahoo.com
Ni kijana wa miaka 25,mwenye sifa zifuatazo
1.mwembamba wastani na mrefu futi tano,
2.ni mtanashati ,mpole na naweza kuchukuliana na yeyote
3.elimu yangu ni chuo na nipo mwaka wa pili
4.ni mkristo...
WADAU NATAFUTA MARAFIKI WA AINA MBILI.
1.YEYOTE ATAKAEPENDA TUBADILISHANE MAWAZO.
Sifa
a)Awe na nia ya dhati (serious)
b)Umri miaka 18-30
c)Awe tayari kukutana
d)Ajue kiswahili au kiingereza...
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifutazo:-
Umri 28 hadi 35,
Mwenye kujitambua,
Mpenda maendeleo,
Mcha Mungu,
Mwenye mtoto sawa maana mi ninao,
Asiwe mnene
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.