I'm easy going.
I love laugh and enjoy life.
I'm not perfect but I have a great personality.
I'm looking same person. . someone as a friend probably a best friend to talk to n share stuff and...
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 26 nipo Dar es Salaam natafuta mchumba ambae baadae aje kuwa mke wangu umri usiozid miaka 26. Awe anajitambua, awe tayari kuishi na mume, awe mzur wa sura na umbo...
Wadau!
Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,
Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,
Natafuta...
Imefika kipindi muhafaka katika maisha yangu kuwa na mtu ambaye tutaanzisha familia hapo baadae sina maneno mengi kwa msichana aliye tayari naomba tuwasiliane.
Na ingekuwa vizuri angekuwa...
Nimeamua kufunguka na kuweka hii adharani jamani! natanfuta mpenz mwenye upendo wa dhati, na aliyetulia na mwajibikaji na mwenye kumpenda mungu na kumwofu!
Habari wana MMU?
Nina umri wa miaka 25, nina urefu wa futi 6, rangi maji ya kunde, dini yangu mkristo.
Ninayemuhitaji, awe MWANAMKE mwenye kimo kama au kinachokaribiana na changu (yaani...
Habari wapendwa!
Mimi ni msichana ambae niko single, natafuta mwenza ambae yuko siriaz, najua wengine watanidhihaki, wengine watasema mtandaoni si mahala pake ila mimi nina amini mapenzi popote...
Habari zenu wadau.
Mi ni kijana wakiume nina umri wa miaka 30 Nimejiajiri. Natafuta msichana wa kumuoa awe ma umri wa kuanzia miaka 23 hadi 30 ukiwa tayari ni PM.
Jamani natafuta rafiki wa kike lakini awe mwalimu shule msingi au sec ambaye baadaye tuweze kuishi pamoja as a family...sifa: awe mkristo, umri kati ya 18 -23, kabila yeyote,mrefu kidogo asiye...
Mimi ni kijana wa miaka 30.
Natafuta mchumba muislamu mwenye kujitambua umri usizidi 27 na usipungue 20.
Akiwa mwalimu ni vizuri zaid.
Kabila lolote.
Ulie tayari ni pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.