Hivi huko munakopita hamuwaoni hao wachumba wenye sifa munazozitaka au vipofu? Shauri yenu wengine humu ni majini na wachawi wala sio watu.
Mimi ninawaambia hivyo.
Kama kuna mwanamke mweye umri wa miaka 28 hadi 40 ambae hana mtoto na anahitaji mtoto au watoto ambao ataweza kulea.
Anakaribishwa, ukiwa tayari nitupa email tutawasiliana.
Wakuu habari!
Najitokeza hapa kutafuta mchumba wa kike ambaye yupo serious tu, awe kanda ya ziwa, akiwa Mwanza itapendeza sana, awe Mwalimu au Nurse, akiwa mwalimu itapendeza zaidi, awe na umri...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, sijawai kuoa wala sina mtoto. Nina urefu wa 5.4' and 60kgs, nakunywa pombe ila sivuti sigara.
Nimtafutaye:
1. Awe amepevuka akili kwa maana kwamba...
Huenda umewahi kuumizwa na wasiojua kupenda/kupendwa au hata kama siku zote umekuwa ukisubiri, nina imani kwa uzi huu ndoto yako itatimia. Sina masharti yoyote, kama umenielewa PM.
habari zenu jf! Natafuta mpenzi wa kike ambaye nawezaishi nae hapo baadae kama mme na mke.
wasifu wangu:
1-Nina miaka 19
2-elimu ya kidato cha nne Kwa sasa,ila nasubiri selection niendelee na...
Natafuta mchumba
Vigezo
1:awe na umri 20--25
2:awe mkristo
3:mweupe
4;yupo mkoa wa dar
5:ana kazi anajitegemea
6:asiwe na mtoto au kuzaa.
7:asiwe mwemba sana wala mnene san
Me nina...
Mimi ni kijana umri 28, mkristo, mtumishi wa serikali,uref Ft 5.4,
Natafuta mchumba au mke mwenye sifa zifuatazo
1. Awe mcha mungu
2.Mwenye upendo wa dhati
kwangu na ndugu zangu pamoja na...
Jamani nadhani lengo langu halijafanikiwa, kila nkitafuta mchumba wanao kuja ni over 23. Sasa ntakuoa au utakula hela zangu tu, mimi niko na 21 bwana sitaki over mimi hapo.
Asanteni 0687270030
habari wana jamvi.
mm ni mvulana miaka 25. nina elimu ya chuo kikuu.natafuta mchumba wa kike ambaye tukiridhiana awe mke wangu hapo baadae.
Sifa za mtu ninaye mhitaji.
1.awe angalau na elimu ya...
Habari za kazi waungwana naitwa Mahmoud Ismail kwa sasa nipo mjini Arusha lakini makazi yangu ni Shinyanga. Natafuta mchumba awe Muislam 18-22.
Awe na kazi ,asiwe na kazi sawa tu, sababu mimi...
Habari za wkend wana jf,Niliyekuwa namtarajia bado yupo mkoani na kanibore sana na sihitaji tena kuwa nae,nikiipogia cm working days mara npo busy,mida ya jioni mara nmechoka,wk ends mara mara...
Waungwana ndani ya JF..
Umri unaenda nahitaji sasa kuoa cz ninakaribia maiaka 30....
Natafuta mke wa kuoa ila awe anafanya kazi "Access Bank" customer care service department!!!!! Kwa wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.