Ninahitaji mwenza wa maisha wa muda mwanamke kuanzia July 1st, 2014 hadi june 30th, 2015
Jukumu:
Kuniliwaza
Sifa:
1. Awe na afya njema umri kuanzia miaka 18 to 35.
2. Awe na elimu inayomsaidia...
siku chache zilizopita niliona post ya mdada mmoja hivi anatafuta mchumba na kwakuwa na mie nipo single na ninatafuta mtu wa kuishi nae niliamua kuanza kumfuatilka kwa ku mp na kupeana no za...
aise natafuta mrembo wa miaka 17-19 tuwe marafiki, baadae wachumba na kama vp tuwe 1 thing on next tym, nina miaka 19, kazi(kapuni), cpendi mchunaji, ukiniomba pesa nakuadd black list, nichek...
Jamani natafuta boyfriend ila awe serious maana huu upweke sasa unaelekea kuniua... Mchumba niliekuwa nae kapata ajali mwaka jana ikiyopoteza maishaa yake... Ni mwaka sasa umepita nadhani nahitaji...
Natumaini hamujambo mabibi na mabwana so nilikuwa natafuta rafiki wa kike mwenye age 21 anaejielewa maana wengi wao wamekuwa hawajielewi na kuwa na tamaa ya vitu fulani ila kama unae mpenzi wako...
Habari, Naitwa Erick ! naomba kama kuna mdada yoyote aliye tayari kuingia katika serious relation ani PM
Maeleza yangu binafsi na Mengineyo tutaelezana Inbox kwa walio serious na kujitambua tu...
Naitwa tinoh, age 28 natafuta mwanamke ambaye atakae kuwa mke wangu, nina degree ila mwanamke ninaitaji ni mwenye elimu yoyote ile ilimradi awe na mapenzi ya kweli, just call or text me direct my...
Mi ni kijana wa miaka 27 mrefu smart mwili wastan naish dar nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye umri ucopungua miaka 55 nimechoshwa na vijana wenzangu nitafurahi zaid nikipata wa maisha ya hali ya...
Yawezekana ukaokota embe dodo chini ya muarubaini. Natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo
Mwenye heshima: Sikuambii uwe kama Mama Theresa, lakini unatakiwa uwe na heshima kwa watu katika namna ya...
Ninasubiri kumpata mschana nitakaempenda na kumfikisha katika kilele cha furaha ya maisha yake....
Awe ni mschana mzuri mwenye kujiheshim na anaejitambua kimaisha...awe ni mpambanaji mzuri wa...
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wa kike,
Mimi ni kijana mfanyabiashara hivyo natafuta mchumba awe mfanyabiashara pia.
Sifa zingine ni kama ifuatavyo
1.Umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.