Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Jamani natafuta mchumba age interval 16-23! Maana nimechoka sana huku mtaani wananiona mgumu eti sina hisia hawajui kua na act! Na mimi najua kupenda ila sipendi kuchepuka tena moyo wangu si wa...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Demu yoyote ajitokeze tujirushe tu kunipata tuma sms 0688381048
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nianze kwa kutoa kisa cha kweli then niwashauri wanaotafuta wachumba. Siku moja jeshi la Uingereza lilikuwa kazini baharini na wakaishiwa maji ya kunywa. Mkuu wa kikosi akapiga simu nchi kavu ili...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu,ni muda mrefu nakuwa nkitumia huu mtandao but ombi langu bado halija fanikiwa,Ila mim n mwanaume wa 27 yrs,mrefu na mweusi wa maji ya kunde,elimu ya chuo kikuu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za saizi na poleni kwa majukumu ndugu zngu,ila nashukuru kwa walioni nshauri nakunikosoa jana kwa ombi langu la kupata mdada wakula nae raha jana,kwa bahati nzuri au mbaya ombi langu...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28,mkristo nasali romani catholic na nimeokoka,elimu yangu ni shahada ya uzamili yaani masters,nina kazi nzuri tu na ni mwajiliwa wa selikali, rangi ni maji...
9 Reactions
143 Replies
111K Views
Habari wanajf, mimi naishi Dar, umri wangu 24, ninahitaji girlfriend alie serious katika uhusiano,dini yoyote,kabila lolote,kama upo mwenye vigezo piga 0714702720
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Independent divorced mom wondering if there could be a second chance in life, if you are 35 and above, independent single dad believing there could be second chance in life and you are...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Natamani kuwa na familia umri wangu 26 kama upo serious, Pm
4 Reactions
86 Replies
8K Views
Ndio kama mwezi nimemalizia kujenga nyumba yangu ya vyumba viwili na sebule + choo na jiko self container mbezi kutokana na ubize wa kutafuta pesa hukuhuku nilkua mbali sana na mapenzi nikiwa na...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Wakuu hii ni mara ya mwisho kutangaza.Natafuta mchumba au girlfriend.SIFA ZANGU MIMI SAYANSIKIMU ni kama zifuatazo .KABILA mgogo DINI mkristo NYUMBANI dodoma UMRI miaka 23 .RANGI YA NGOZI mweusi...
0 Reactions
80 Replies
6K Views
Nina miaka 38 ni mfanyabiashara...natafuta mke awe umri usizidi miaka 38...mcheshi. anayeweza kusimamia miradi au watu...awe anajuakujituma mbunifu PM namba za simu zinaruhusiwa..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Mimi ni kijana wa kiume, Nina miaka 28, naishi Dodoma! kabila langu ni msukuma, nina elimu ya chuo Kikuu na pia nimeajiriwa! Natafuta mpenzi/ mchumba mwenye sifa zifuatazo; umri 21...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Mimi ni kijana ninaeishi arusha na ni mwajiriwa wa serikalini, najitokeza kwa mara ya pili kutafuta mwanamke ambaye tutaanza maisha na kuwa kama mke na mume; sifazangu elim...............cho kikuu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi wasifu wangu ni kama ifuatavyo -umri wangu miaka 34 -ni mwembamba, mweusi na mrefu wastani -elimu yangu ni shahada ya kwanza -nimejiajiri mwenyewe. - mkristo naishi Dar Natafuta mdada...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
mi nipo hapahapa moro,ni handsome 24 years na i wish to have mtoto mmoja wa kike mzuri umri kuanzia miaka 18-24 wa hapa hapa tufahamiane tukipendana tuwe wapenzi,aliye seriouz ani pm tufahamiane...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Mimi nimekuja kweni kwa wale wajane waliofiwa na waume zao njooni Pm tupeane mikakati ya maisha ila narudia ni kwa wajane tu
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Mie ni kijana wa miaka ishirini therathini sas, natafuta mwanamke mtu mzima tufanye maisha, ninaishi mwanza na nina elimu nzuri na pia kazi . yoyote mwenye sifa hizo tuwasiliane kupitia namba...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Back
Top Bottom