Kwa jina naitwa Kontelo,
Nina miaka 27.
Nimemaliza form 6 mwaka jana kwa bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri sikuweza kuendelea na chuo,
bado nipo mtaani najishuulisha na kazi ndogo ndogo...
Nimemaliza chuo mwaka huu na nimeshapata kazi tayari.
Naomba dada mwenye umri wa chini ya miaka 25 aliyetayari kuolewa na anajijuwa ni mzuri awasiliane nami kupitia chandesamwely@gmail.com
Habari wakuu,
Mimi ni mwanaume, nina miaka 37, nina watoto wawili, niliwapata katika mizunguko ya maisha, ninaishi nao.
Nilipanga kuwa na watoto wawili tu katika maisha yangu.
Kwa sababu hii...
niko serios nahitaji binti mweupe ,mrefu kiasi,mnene kiasi muajiriwa au amejiajiri kwa uhusiano wa kudumu,mimi ni mrefu kiasi , mwembamba kiasi,muajiriwa,maji ya kunde aliyetayari call me through...
Sifa zangu:mwaminifu,mchamungu,mvumilivu na msikivu,msafi,mtafutaj pesa wa kufa na kupona.mcheshi,kujali na kubembeleza kwa namna ya kipekee.napenda kudekewa.. umri;26...
Kwa sasa mimi ni kijana nina miaka 22 na hitaji mchumba ambaye tutaishi kipindi cha uchumba kuanzia sasa mpaka mwaka 2018 upweke umezidi kwa kweli.Mwaka 2018 nahisi nitakuwa nimemaliza kusoma na...
Mimi naishi moshi na nahitaji misichana/mwanamke atakayekuwa rafiki yangu
Sifa
napendelea awe na Umri kuanzia miaka 30 kwani Umri wangu ni zaidi ya hapo
awe anajishulisha (muajiriwa au...
Habari za majukumu ndugu zangu,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume wa miaka 27,
Elimu ya shahada (degree) bado sijapata kazi,
Mchaga,mrefu,mweusi maji ya kunde,mkristo safi(lutherani),
Nipo Dar...
Je wewe ni msichana mrembo?
Una umri wa miaka 24-30.
Je wewe ni mcha mungu?
Kama unajiamini tuwasiliane kwa wandwib@yahoo. Com.
Nipo serious mimi ni mwalimu.
Habari za majukumu ndugu zangu wana jf,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume mwenye elimu ya chuo (degree) bado natafuta ajira ya kudumu,ninaumri wa miaka 27 yrs nw,ni mrefu na mweusi wa maji ya...
Seriously lookin for a aged girl 20-28 yrs teacher, anaweza kuwa mwalimu wa primari au sekondari kikubwa awe na uelewa mkubwa na mwenye uwezo wa kukatua matatizo, pia awe mwenye uchungu na maisha...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kabila langu ni mhaya.elimu chuo kikuu,ninafanya kazi na kuishi zanzibar ,Natafuta mwanamke aliyetayari kuwa mke mwenza,awe na sifa zifuatazo;
1.Awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.