Hivi mwanaume anaweza kukaa zaidi ya miaka mitatu bila mpenzi?
Tusaidianeni jamani manake mi nashangazwa na kidume ulokamilika kukaa kipindi chote hicho bila kuwa na "mtoto"...
Naitwa Manlax nipo Kahama-Shinyanga, nina miaka 28 sasa, ni mtanzania halisi natafuta marafiki wa kike wenye asili ya kiarabu na wahindi kati ya miaka 18-24, nimefikia kutafuta matrafiki wa...
nafikria sana kwa nini wanaume wenye malengo ya kuoa wanapowafata wanawake kwa lengo la kuoa huwa wanakataa na baada ya kutendwa wanakuja na kusema kuwa wanaume sio watu kabisa na tusiwaamini...
Hello everyone, Iam Colins,29 yrs male,Dsm. Iam friendly,fun,charming,easy to get along with,honest and genuine. I work. Looking for friends,those i can talsocialize and share experiences. I enjoy...
Mdada awe mrefu, mweusi umbo la wastani, ajiheshimu na awe msiri pia. Mimi ni kijana umri 29 mrefu wa wastan other things we can talk in private if you are interested, i dont care if you are...
Natafuta mke mwema.natafuta mke mwema lakini mwenye mvuto.anayejiamini kwamba ni mrembo sana but mwenye tabia njema ni pm nw.mm nina degree mbili za biashara.
Hii kwaaliyetayali nahitaji mtu wakuoa mm naumli miaka 24 yeye awe namiaka kuanzia 18-24 kwaaliye tayali tuwsiliane 0713281459 au emeli Tobiasaloyce@gmail.com sms zitajibiwa
Kama caption inavyojieleza! Mm ni kijana age 27,nafuta msichana wa kuoa age asizidi 29! Mm npo dar! Nasisitiza sina pesa nmemaliza chuo mwaka juzi bado cjafanikiwa kupata kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.