Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mwenye umri kuanzia miaka 20-25. Awe anaishi arusha na pia awe afanya kazi ARUSHA . Mwalimu serikalini atapewa kipaumbele. Awe mkristo.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana mwenye miaka 26,im a teacher(secondary) naitaji mchumba,awe mzuri,asinizidi umri na awe tayari kupima v.v.u. Awe anajielewa alietayari ani pm THANKS AND GOD BLESS U.
0 Reactions
0 Replies
940 Views
ni mwanaume 29,elimu yangu chuo kikuu,si mnene,urefu wangu ni futi 5.2,mkristo,natufuta mwenza wa maisha elim kuanzia4-
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, Nimekuja leo hapa nikiwa na suala la kutafuta mke.Akina dada aliye tayari ani pm. Umri wangu 34yrs.
0 Reactions
32 Replies
3K Views
habarini wakuu, hasa wanawake hii inawahusu.Natafuta serious mchumba.kigezo cha kwanza awe mcha God (mtu wa maombi na sala asubuhi mchana na jioni, kufunga na awe mtu wa ibada), age kuanzia 25...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello.....!!!! Its not fair.....!!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta girlfriend umri 18-25. Awe Mwanza,ila asiwe mpenda starehe wala maisha ya anasa. Awe mcha Mungu wa dini yoyote na kabila lolote. Aliye tayari no zng ni 0788 05 11 12
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The term ''LOVE'' it has different meanings, can u please tell me on how u use that term?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jamvini,mimi ni kijana mwenye umri 27,mrefu 5.9feet,umbo la wastani,natafuta msichana alie searious kuanza maisha na kujuana zaidi,awe anaishi england,wales au scotland,mtanzania...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
natafuta mchumba wakike aliye serious nitext 0683312824
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Habari wana jamvini,mimi ni kijana mwenye umri 27,mrefu 5.9feet umbo la wastani,natafuta msichana alie searious na ambaye yukp tayari kuanza maisha,awe anaishi hapa england,scotland au wales na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
The Genius OkCupid Hack That Led to True LoveBy Stefanie Tuder Stefanie Tuder Posts By Stefanie Tuder | ABC News Blogs – 16 hours ago Email Share155 Share1 Print Good Morning...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
uwe na shepu yako, muelewa , serious, mwaminifu coz nataka ku settle one place, tukiendana tuoane, uwe dar
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Mi ni mtu wa kanda ya ziwa natafuta toto la ki tanga umri kati ya miaka wowote wa kjana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni Mvulana mwenye miaka 28, Naishi dar! Natafuta msichana aliye serious tuweze kuwa katika mahusiano ya kimapenzi nihitaji kuanza kujenga Familia naye! nimekaa mpweke kwa muda wa zaidi miez 9...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
aliye tayari tuwasilkiane kwa e- mail adriano.cole55@yahoo.com
0 Reactions
16 Replies
5K Views
mke wangu amekithiri kwa uchafu nimesema mpaka nimechoka, naombeni ushauri ndugu zangu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta msichana mzuri mkazi wa mtwara awe mweupe anayejiheshimu elimu yoyote anipm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama ww umeoa au unamchumba alaf shughuli zimekubana sana(upo busy) natoa huduma ya kumridhisha mkeo/mchumba wako kwa kipindi chote utakacho kuwa busy kwa gharama nafuu tu...... Wenye shida wanichek
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naitwa Sam from dar es salaam,24 miaka yang,mm ni mweupe,mrefu wa wastan halafu modal.Natafuta msichana/mpenz mweny sifa hizi.1, umri miaka 19 mpaka 23. 2,Asiwe mnene wala mwembamba size ya kat na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom