Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kwa wale masigle boy, Napenda kutoa ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao mahali ni BAHARI BEACH HOTEL.. Sifa: Miaka 27-35 Kupendeza muhimu.
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Wadau bado natafuta mke kupitia jukwaa hili, Mimi nipo mwanza na nafanya kazi. Nahitaji na yeye awe anafanya kazi, akiwa mwalimu ni nzuri zaidi, awe mpenda maendeleo, mtaratibu na mwenye mvuto...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wasalaam, kwa yule mwenye uhitaji wa wa patner.. vigezo.. Umri kati ya 32-40 dini mkristo kiwango cha elimu kuanzia certificate. sibagui rangi wala kabila.. NB...awe katika hali...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
mwenye kujua yuko mbeya lakini ni binti. awe mrembo co wale wakuwafunika uso. Aje Prvt nimpe kazi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana aliyemaliza chuo kikuu , nina kazi nzuri , natafuta girlfriend awe mweupe na uzito zaidi ya kg 60 , mnakaribishwa wote
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Natafuta mchumba umri kuanzia 18 -30
0 Reactions
3 Replies
791 Views
Jaman wana jf natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 sifa kuu awe anajua nn maana ya mwanaume.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wadau, Nimeona nami nijitokeze kutafuta mke katika jukwaa hili. mimi nafanya kazi na nina elimu ya chuo kikuu. nahitaji mke mwema, awe mkristo, mtaratibu na mwenye mawazo ya maendeleo, awe...
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Mimi naitwa stephiano junior kutoka mshomoroni,mombasa. Na niko na 21 years na natafuta mrembo (girlfriend) namba yangu ya simu ni 0726366034
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi ni kijana nina mtafuta mwanamke miaka 25-65 mwenye kujua thamani ya mapenzi kigezi cha miaka ni muhumu hata kama anawatoto ni vzuri kwani hata mm ninafamilia
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta girlfriend wa kweli..(0726366034
0 Reactions
3 Replies
762 Views
Hellooo
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana MMU jukwaa la Love connect nawasalimu wote kwa mpigo. Hii ni kwa niaba ya rafiki yangu wa karibu. Ana miaka 45 na watoto wawili, very independent woman, yuko safi, kazi nzuri maisha sio ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta urafiki wa ukweli.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau kama unahitaji mwenza wa maisha awe mwanamke au mwanaume tafadhali ni-PM na nitakuunganisha bure kabisa kwa sasa nilionao kwenye list ni wadada wanatamani kupata wenza wenye umri kuanzia...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 33 Mnene kiasi mweusi Mwenyeji wa Mbeya Natafuta mume wa kuanzisha nae familia
2 Reactions
63 Replies
7K Views
Nahitaji mume kuanzia 40 na kuendelea, mimi ni single mother nina mtoto mmoja naishi dsm mwenye kunipm tutawasiliana zaidi. Alie serious anipm mkristo kipaumbele zaidi na mcha mungu awe na kazi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Niliomba mchumba humu,nikatoa sifa zangu,kuwa ni mwalimu private school,nahitaj mchumba mwaminifu,aliye na kazi yoyote toka arusha tukifahamiana twende kwa wazazi na tufunge ndoa,aliye tayari na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Alie tayari ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JamanI wadada natafuta mtu wa kutoka nae siku ya valentine day
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom