Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
mimi ni kijana wa miaka 30 nafanya kazi katika kampuni ya paraguya foundation iliyopo dareslaam natafuta mchumba
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa dada yoyote atakuwa na sifa tajwa hapo chini na awe tayari kwa moyo wa dhati kuwa mpenzi, mchumba na badae kuwa mke, basi PM. SIFA ZAKE 1) Awe na umri wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta msichana atakayekuwa mchumba wangu, vigezo awe mweupe, mrefu name mnene wa wastan. Elimu angalau diploma hata kama huna kigezo cha elimu kama uzuri upo wewe tiririka kwa pm , Nina...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwako bwana utafitisalam. Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am...
3 Reactions
104 Replies
7K Views
k
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Vigezo awe na mapenzi ya kweli lakini pia awe na pesa.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 26,rangi yangu nyeupe na mtanashati, naishi BahariBeach na namba yangu 0689315582 nataka rafiki wa kike mrembo anayejitambua na awe yupo serious na anachokifanya.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana-MMU na Love Connect, Mimi ni kijana mtanzania,natafta mwanamke ambaye nitaanzisha nae mahusiano ya kimapenzi ambaye baadae atakuwa mchumba wangu na Mungu akijalia tufunge pingu za...
0 Reactions
67 Replies
8K Views
Hello addressees, as the title reads, am a male aged 32 yrs., Christian, working in one of the government institutions in Dar es Salaam, a university of Dsm graduate (Economist), looking for a...
0 Reactions
1 Replies
739 Views
msichana wife material anatafutwa. sifa zinazotakiwa: Age not above 35 Education....not below form iv Religion..any but christian will be preferred Awe ready for marriage a year later. Awe...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Najisikia leo kukaa na demu ambaye sijawahi kumuona, nikae naye walau hadi mishale ya saa 2 hivi; tukapate lunch, vinywaji, tubadilishane mawazo ila tusiingie kwenye majaribu ya kuvunja amri ya...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mie nina umri wa miaka 25 Ninatafuta rafiki wa kike miaka 18-30 wa kuchat naye na kabila na dini yoyote.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani rafiki yangu ataka hookup on this saturday..she charming,anapenda mziki,she drinks na akilewa ndo anacheza balaa..for a guy in Morogoro n your up for the hookup pm me..ila make sure ur...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
naitwa m.p ,naish dar natafta mke wakuanza nae maisha,nipo chuo mwaka wapili dsm.umr wangu 30,maji yakunde,pombe wala sigara stumii,sina mtoto.nimtaftae awe na elimu kuanzia chuo,dini...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za leo wana MMU? Poleni na majukumu! kwa mara ya kwanza na mimi najitokeza leo kutafuta mwenza hapa MMU, upweke umenichosha umri kuanzia 39 hadi 45, mengine tutaongea pm. karibuni.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wote! Mimi ni msichana mrembo nasoma chuo kwa sasa. Natafuta jibaba lenye nazo ambae ataweza kunilea na mimi ntampa penzi zito!, Nipo serious sihitaji wa kucheza na hisia zangu kwani npo...
0 Reactions
81 Replies
11K Views
Natafuta mchumba wa kike awe na elimu kuanzia fomu 6,ameokoka,mfupi,mweupe,awe anapatikana dar,awe serious na tayari kupima HIV kiukweli nikimpata nitampenda na kumtunza please kama hauko serious...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wapendwa, Mimi natafuta mke....kwa sababu nimechoka na maisha ya u-single. Sifa za mke ni mpendaye ....awe: 1. Daktari au Nesi......iwe tayari ameajiriwa na sio mwanafunzi, au awe 2...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mdogo wangu aishie moshi anatafuta mke mkristo born again. kazi yake ni mwl. wa shule ya msingi yupo moshi(wilaya ya same). umri wake ni 33yrs. kama uko serious pm nikupe namba yake ya simu.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
hallow wana JF Najitokeza kwa mara kwanza hapa JF kutafuta rafiki wa kike ambae baadae atakuwa mke wangu,mimi nina sifa hizi -umri wangu ni miaka 36 -urefu ni cm 168 -siyo mwemba siyo mnene ni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom