Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea...
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 24 na elimu yangu ni Shahada,katika chuo kikuu Udsm,sasa nimeajiliwa na serikali,katika hospitali ya taifa Muhimbili,mim ni doctor wa mifupa.Nimepata msichana...
Nahitaji mpenzi ambaye atakuja kuwa mchumba and then mke,umri 20-25 dini mkristo,kabila pare from same,elimu at least form 4 + course,muwazi,anayejisimamia mwenyewe contact me through PM
Jina langu: irene
Jinsia yangu: mwanamke
Umri wangu: 32 - 35
Elimu yangu: chuo
Natafuta: rafiki mvulana kwa ajili ya long term relatioship mpaka ndoa
Miaka yake: 33 - 38
Nchi atokayo...
Kwanza nina zaidi ya miaka 30,nahitaji mke ambae nitamheshimu nae ataniheshimu,kwa kifupi tutaheshimiana
Kazi yangu ni mjasiria mali mdogo sana,yani ndo natafuta hela,kama wewe ni binti,mwanamke...
girl wth that age find me at wappolinary@yahoo.com and i promise fact respond
iam a boy if not more than 25 live in dar kinondoni am here for friend especial girl
Kama wewe ni binti na unadhani unakidhi vigizo hivi hapa basi ni PM....(PM=private massage)
1. Mcha Mungu
2. Walau uwe na elimu ya diploma
3. Msafi na smart girl wa mwili wako pamo ja na mavazi...
kwanza nina miaka 25 im black si mfupi wala mrefu,mkristo nina elimu ya chuo kikuu
naitaji msichana ambaye yupo tayari kuwa na mimi
muhimu awe na tabia njema na muwazi.... Pm me
kama kuna mdada mwenye upendo wa dhati ila kaumizwa na gumegume ondoa shaka naweza kukupa true love mpaka ndoa endapo tutakubaliana call me 0768964697 usibip,sms zitajibiwa
Wanajamvi salam kwenu! Nina umri wa miaka 30. Ninaelimu ya chuo kikuu pia ni mwajiriwa serikalini, najitokeza ktk ukumbi huu kutangaza nia ya kutafuta mke na awe na sifa zifuatazo: Awe na elimu...
Habari wana jf,natafuta mpenzi mpenzi alie serious aje kua mama wa watoto wangu,elimu kuanzia form four na kuendelea.Alie serious na tayari naomba ani PM
Mimi ni mvulana wa miaka 25 najitokeza kwenu wakuu natafuta mke wakuoa.
Mimi nimejiari ni mjasiriamal mdogo
naishi morogoro.
Dini yangu ni mkristo mkatoliki.
Mke nimhitajie awe anetokea...
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.