Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
awe wa kike asizidi miaka 22 pia awe over eighteen, kwani naamini kwa kushare naye mawazo nitajua nimwanamke wa aina gani anaweza kunifaa kuishi naye.:A S kiss:
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta msichana mwenye umri Kati ya miaka 19 hadi 24 single female mwenye sifa hizi awe mpole mwelewa na ajue maana ya relation kidato cha nne ,sita, chuo au muajiriwa awe mkristo asiye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Afya njema, awe tayari kupima HIV, Allowance ya 700,000 kila mwezi apart from matumizi mengine ya kawaida, from date of pregnancy till delivery, and a year after. After delivery you will be paid...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi ni kijana niliyezaliwa 1987 namtafuta Mwanamke aliyeokoka ambaye yupo tayari kuishi kama Mke pia mwenye wito katika kumtumikia MUNGU..0773 842 849
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta girlfriend ambaye ataelekea kuwa mke panapo majaaliwa... SIFA ZANGU:Mimi ni mwajiriwa wizara ya mambo ya ndani,kipato cha kawaida! Umri miaka 24 Nipo mbeya ndipo ninapoishi kwa sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta marafiki wa jinsia yeyote(male and female) wa kubadilishana mawazo tu na si vinginevyo.awe na elimu yeyote(hajasoma,darasa la 7,kidato cha nne n.k).umri(miaka 18-25.km yupo tayar aingie...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello, natafuta marafiki wa kuwasiliana nao, nina miaka 28, mwanaume, ninafanya kazi ktk kampuni ndogo ya micro finance sort of, napenda mpira(manu), kuogelea haswa beach, kusafiri, movies...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Natafuta mchumba jamn ila tu awe anandoto za kuwa mchungaj hapo badae kwa sasaivi 2le bata kidogo ili 2kisha2bu 2metubu mazimaa!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Invalid
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao alie tayar ani PM
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Nina miaka 28 elimu yngu ni degree ya computer natafuta msichana mwenye mapenzi ya dhati kama mimi asiye mwongo umri 18-24,mweupe,mfupi 130-150 cm,mlokole,elimu kuanzia form 4 ,wastani si mnene...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Habari zenu marafiki mimi ni mwanaume nina miaka 28 elimu yangu ni degree ya computer natafuta msichana mwenye vigezo hivi awe mke wangu Mungu akipenda 1.Awe ameokoka(Mkristo) 2.Mwenye umri wa...
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo...
4 Reactions
103 Replies
10K Views
nahitaji mrembo na mlokole maeneo ya dar nina 25yrs.asiwe na wifu na mwenye upendo wa dhati.tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mimi ni kijana wa kiume miaka33, rangi ya maji ya kunde,mrefu wastani,nimejaa wastani,mcheshi na mwongeaji, ni mwajiliwa wa sirikali,pia ni mjasiriamali. Napenda mapenzi huru, kwa hiyo naingia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mi ni kijana wa miaka 29,mkristo..,elim yangu ni degree na ninafanya kazi sasa mbeya. Natafuta msichana ambae atakuja kuwa mke wangu baadae:awe na umri miaka 21-29 na elim angalau kidato cha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama ww ni mwanamke mwenye kupenda mambo yetu yale(kiutu uzima),unae taka kukumbukia maisha yako ya ujana,usikose kumtafuta huyu jamaa mwenye namba hii 0717059813. Ni kijana mwenye uwezo wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23,niko peke yangu, na mwanafunzi ninayejielewa, namtafuta mrembo wa kuwa na mimi kama wapenzi. Mdada huyu atakeyeridhika na mimi awe na elimu ya kuanzia kidato cha 4...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Bbr wanajf jamani akinadada shida yangu ni ndogo tu usiku wa kuamkia leo ilikuwa zamu ya mke mkubwa kulala kwake tumeongea mengi sana ila alichonishauri ni ongeze mke mwingine wawe watatu,hivyo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nina watoto wawili. sitakii kuzaa tena. kwahiyo ninatafuta mwanamke mgumba ambaye nitaanza naye maisha as soon as posible. Awe tayari kupima HIV. na awe mkristo. hakuna kigezo kingine kama ni...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Back
Top Bottom