Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
natafuta rafiki wa kawaida mwanaume age.33 NA KUENDELEA,MKRISTU
1 Reactions
8 Replies
1K Views
SIMON COSTANTINE WA DAR MASAKI,,NATAFUTA RAFIKI WA KIKE WA KUCHATI NAE-0753414392 NAITWA THAMIN JUMA KUTOKA KIGOMA,NATAFUTA RAFIKI WA KUCHATI NAE AMABAYE YUPO TAYARI ANITAFUTE-0757 335151...
0 Reactions
11 Replies
23K Views
Kama ww ni muhitaji haswa na unapenda kuishi na mume atakaye kupenda kwa dhat na uyafurahie mapenz, njoo kwangu!! Angalizo sihitaj mwanamke mrembo, nahitaj wakawaida tutakayeenda ktk...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 20 natafuta marafikiwa kuchat nao kujuana hali, kutembeleana nao yaan ku have fun kama ma best friend...ukiwa tayari naomba tuwasiliane,plz uni PM.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mm ni kijana wa miaka 20 natafuta marafiki wa jinsia yeyote wa kuchat nao.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
My profile. Age: 25-27 nationality:tanzanian colour:black education:bachelor degree interest in woman with the following features. Age:22-26 nationality:any from africa colour:natural...
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Ninatafuta mdada wa miaka kati ya 20-30 wa elimu ya angalau kuanzia Form-4,Mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa Sabato,aliyetayari kuanzisha mahusiano na mimi ambayo yatapelekea uchumba na hatimaye...
0 Reactions
2 Replies
947 Views
love connect inamaana gani kwa lugha ya kiswahili...? maana kwa uelewa wangu mm ni sehem ambapo unaweza kutana na mtu mwenye hitaji la (mme)(mke) au rafiki..... why mtu akipost anahitaji rafiki au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi Members, natafta girl friend muelewa,mwenye sifa hizi. Umri- 18-27 Umbo - Asiwe mnene sana, Dini - yoyote, Kazi- vyovyote, Rangi- awe mweupe wa asili awe hajawahi kutumia mchna. Anichek...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I am looking 4 agirlfriend asizidi 24years uaminifu realy friend nicheki fb my mail:@shax.willy
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mchumba anaye weza kumudau kukaa nami. Sifa zote za kuwa binti mzuri.si uzuri tu awe mzuri wa tabia na awe mwelewa wa mapenzi. Endapo unajishuku nitafute tuwasiliane kupitia facebook...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwanadada mwalimu unatafutwa sana na mimi mwl mwenzio pengine mambo yakiwa sawa tutakuwa tunafarijiana kwa kudhalauliwa na serikali yetu sikivu, chonde mwenye sifa hiyo ya udada unakaribishwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kwa ufupi nina kazi na kipato changu naridhika nacho,naishi peke yangu sijaoa na sina mtoto,umri wangu miaka 26.elimu degree,sina plan yoyote ya kuoa au kupata mtoto nahtaji kustarehe tu,huo ndo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nahitaji rafiki wa kike kutoka pande za kaskazini, kati, kanda ya ziwa mwa Tz, awe mwajiliwa serkalin/mashirika binafsi, umri chin ya miaka 23 kwa mawasiliano zaidi 0769396328 message zote...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niko mpweke; nahitaji mwanamke wa kuniliwaza hata kwa kuchart kwa SMS;
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Salam Wadau Najitokeza hapa jukwaani kutafuta mwanamke ambae tukielewana aje kuwa mke wangu, awe mnene, rangi yoyote, elimu kuanzia kidato cha 4 umri kati ya 35-45. kama ana mtoto asizidi mmoja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta mpenzi mwenye umri usiozidi miaka 21.awe mwenye utimamu wa kuchanganua na kupambanua mambo kwa uelewa wa akili.awe mrefu saiz ya wastani,awe mrembo anayefahamu lugha mbili yaani english...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike, Awe na umri kati ya miaka 18-24, .tabia nzuri. .mcha mungu. .mwenye uelewa na mipango ya maisha. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, Aliye tayari ani PM.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
heshima mbele to all JF members,natafuta marafiki wa kike wa kuchat kwa ajili ya kubadilishana mawazo,umri 18-22,for more info ni PM.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye nina mwezi wa pili nipo dar ,nilikuja kwa mjomba,sasa amestaafu amepewa ela sa hv amenunua gari lake sio la ofisini tena, kwa hiyo nataka kuoa msichana ambaye amefaulu vizuri...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Back
Top Bottom