Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi nina miaka 32, elimu ya juu, sina mtoto, na sijawahi olewa. Ni mwajiriwa. Naishi kibaha. sifa za nimtakae awe na umri kuanzia miaka 32 mpaka 45, mkristo. Awe mwajiriwa/mjasiriamali. Awe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nitagombea uongozi mkubwa katika nchi hii. Naitaji mke wa mkataba mwenye sifa zifuatazo. Awe na mvuto kwa jamii. Ajue kingereza vizuri, mcheshi, mwanaharakati, awe mvumilivu kisiasa. Umri wake uwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo awe atatoka singida elimu kiwango cha chini degree awe mweupe awe mcheshi mrefu kama cm 166 awe na umri usiopungua 22 na usizidi 35 maelezo mengine atapata...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mstaarabu mwenye umri usiozidi miaka 25 .leo hii kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa hizi kutafuta mchumba .kwa upande wa kazi mimi ni mjasiriamali toka mkoa wa Kilimanjaro...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume miaka 23 ,Nasoma ardhi university nahitaji mpenzi aliyeseriouz ani pm asiwe zaidi ya 23yrs
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mume jaman....awe muslim jaman
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Natafuta Mchumba wa kuanza naye Maisha. Naitwa Fatma Ally ni mtanzania kutoka Zanzibar ila kwa sasa naishi hapa Doha,Qatar na ninafanya kazi na kampuni ya chakula hapa Doha,Ninatafuta mchumba...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
From kahama shy tz am looking a wisdom girl & beautiful whenever you're age between 18 up to 22 for more info call me or text 789372822 all text i'll reply soon as possible.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
I have been observing the advertisements in JF about love and noted that, whenever a male needs a girlfriend will always specify age that is below his while a female specifies above her's. Can...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
JAMANI MIMI SITANII NIKO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA WA KUOA MKRISTO,UMRI 22-28,UMRI WANGU NI MIAKA 28 AWE MKWELI MSAFI ASIWE NA MTOTO(MIMI SINA),UMBO LA KAWAIDA ELIMU YEYOTE KABILA LOLOTE RANGI...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
kwa waliyo tayari tuwasiliane mapema sana, matan sitak na mtoto wa kiume hii haikuhusu wala sihitaj ushar ni maamuz binafi!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mm ni kijana ambaye Mungu Mwenyezi kanibariki katika maisha hela ya kutafuta mboga haipigi chena nimemaliza chuo kikuu plus elimu nyingine ya juu,katika mahusiano nilishapita kwingi na kuwa na...
1 Reactions
53 Replies
47K Views
For a serious chat mate gal . Kubadilishana mawazo n challenges., text me via 0778-703233 Nipo dsm. With regards, thanks.
0 Reactions
0 Replies
975 Views
MIMI:mwanaume UMRI:miaka 27 DINI:mkristo ELIMU: BACHELOR KAZI: MWAJIRIWA SERIKALINI UMBO na mwonekano:mnene kiasi, Mrefu kiasi, mweusi Namtafuta msichana kuanzia miaka 19-25, mwajiriwa, mkristo...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
acha niitwe mbaguzi... umri wangu ni miaka..30.. elim yangu dgree ya madin.. sijawahi owa wala sina mtoto.!! nafanya kazi za kuhama hama yani miezi 6 MTWARA na 6 MARA... nahitaji mchumba awe na...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Am zakayo from kaham shy tz am looking a wisdom girl n beautiful whenever you're more info call or text n soon possible i'll reply a realy answer 789372822
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uko wapi wa kunitoa upweke jamani..? Nimekuwa nikisoma thread humu za kutafuta wenza nami nimeona nijiunge ili niweze kutafuta mwenza. Please nipo serious. Mi ni mwanamke mwenye miaka...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
awali ya yote namshukuru mungu kwa kuamuka salama kabisa kwa kweli nilipata mwanamke kwa njia ya email ambaye tulikuwa tunachat naye kalibia miezi mitano hatujaonana isipokuwa picha alinitumia na...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Alie serious kama mie tuwasiliane basi. Ambae yupo tayari kusonga mbele nami kimaisha. Naomba niandikie barua ndefu jieleze kwa makini juu yako, kama vile umri ulio nao, unapoishi, dini yako...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
i need some1 to make me happy jaman.coz nimekuwa na mawazo sana ya maisha so nahitaji mpenz wa kike 2farijiane nae na kupunguza baadhi ya stress. Plz kama upo teyari nisms through dis no 0656020122
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom