Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nimezaa na mdada ambaye kiukweli ckuwa na wala cna malengo naye kimaisha, cwezi sema ni bahati mbaya no! Ila nihali ambayo unapofanya ni kama hujitambui vile.ishu nikwamba naishi mbali na mchumba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tazama kiza kimeingia, na nuru ya jua imepotea sina budi yalomema kukutakia na dua njema kukuombea, usiku mwema.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
km kichwa cha habari kinavyojieleza kuna mijitu humu kazi kukosoa wenzao tu hili ni jukwaa la love connect it means ukiingia humu unalijua lengo la humu ni connection za maloveee tu sasa m2 kaweka...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
"Inanipa shida kidogo kuona kila mtu anaanzisha thread ya kutafuta Mchumba kwa kasi hii: kabla hujaweka thread yako hapa hebu jiulize maswali yafuatayo yatakusaidia ktk safari unayoitaka KUANZA IT...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow,naitwa Sean nina miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana pale IFM,ninaishi Dsm. Natafuta marafiki,any gender maana I'm interested in networking pia,I'm not married nor in anything...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana jf,mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 27, nna elimu ya chuo kikuu, kwa sasa nnafanya kazi katika taasisi binafsi. natafuta mchumba ambaye atakuwa mume wangu. awe na umri angalau...
1 Reactions
69 Replies
10K Views
Mimi ni mwanaume nina miaka 23 nipo chuo mwaka wa tatu natafta msichana wa kubadilishana mawazo kwa njia ya email awe kutoka kanda ya ziwa wachaga na wajita tafadhali email yangu ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1 Say he is allah,the one and only,2 allah, the eternal, absolute,3 he begetteth not, nor is he begotten, 4 and there is none like unto him.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji mpenzi/mke 25 mpaka 35 ambaye yuko tayari ani pm
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakiume au kike mie ni "me" pm tafadhari.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kipekee nipende kumshukuru Mungu kwakuwa ni kwa neema tu! Mungu ana sababu na anatupenda kuliko sisi tunmavyojipenda wenyewe! Well siku 365 ni nyingi mno lakini ni fupi ukiwa na...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Asalaam alyuk ndugu zangu leo nmeona / kujickia kutoka na totozi mbili za humu kusherehekea huu mwaka aliyetayari tuwasiliane kwa PM
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Natafuta rafiki wa kike wa kuhat nae. awe anajieshimu sana. nipate hapa 0715120841
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Kama wewe ni mwanamke mpenda ideas mpya za kimaisha,jiunge nami katika kubadilishana mawazo ili tuishi vyema hapa mjini na Tanzania kwa ujumla.Uwe na umri wa miaka 18-26. Mimi jina langu ni hili...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mi ni kijana, urefu 178cm, 37yrs ninatafuta mwanamke wa kuoa wenye umri kati ya 27-33yrs, mkristo, at least degree, asiwe mnene pls na mweupe kiasi ila siyo wa mkorogo. Kama uko interested...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I'm 21 yrs old ,looking for a girl who i'll truly love ! She should be from 18 to 21 !
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji marafiki wa kuchat nao na kubadilishana mawazo kwa kupitia namba 0759749175 sms zitajibiwa
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Natafuta mwanamke wa kuoa, sifa ya kwanza awe mjaluo, Umri 22.'-26. Mwenye nidhamu na atleast elimu ya f4 au mwalimu msingi. Aliye tayari tuwasiliane.
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Back
Top Bottom