mimi ni kijana nina akili timamu jinsi navoji feel. na huwa najihisi kamili zaid napopiga konyagi mizinga 2. tatizo langu kila mwanamke naempata ananichezea tu akinichoka ananiacha yaani nimeachwa...
Wadau,
Nina hamu ya ku-do na msichama wa hapa JF, sitaki tuwe na mahusiano ya kiuchumba, wala sio kwa ajili ya kuuziana (Raha tunapata wote).
Nataka wa kusex nae tu pale ninapojiskia, nae...
Nimesoma malalamiko mengi humu JF.
Wanawake wakilaumu kuwa wanaume wa Jf ni balaa, mabomu, wanataka sex tu, waongo, walaghai nk
Na wanaume wakilalamika kusema wanawake wa JF ni noma, m-pesa na...
Natafuta mchumba kuanzia miaka 18-22 ,awe na sifa zifuatazo
1.mweupe bila mkorogo/mweusi black beuty
2.awe na elimu ya kuanzia form 4 au kuendelea mwisho bachelor
3.awe na heshima na maadili...
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 27....ni mjasiliamali ... natafuta marafiki ambao tunaweza tukashauriana khusu biashara...ambao watapenda tuwasiliane kwa email: jacquee_rw@hotmail.com Phone...
Enzi za mitume kulikua na mtu mmoja alikua mfupi saaana alikua huenda msikitini kusali akitoka tu huwa viatu havioni wapo jamaa huvificha kila siku juu ya paa yeye akitoka nje ya mskt husubiri mtu...
Halow wana jf matani ya kizidi huwa makosa kwa kweli matani sio mazuri ya kizidi kwa sababu humu katika jf wengine huwa wako serious kwa taarifa zao lakini huambulia joks pia wengine hutafuta...
anampenzi nyumbani kwao ila kila 2kigombana anaomba msamaha 2narudiana na nimetoa mimba yake kwani nmeona hatuna future ila nampenda sana hyu mwanaume...kitandani najitahidi kumpa kile...
Nimeachwa na mke!nina watoto wawili ila huyu wa pili nina mashaka kama ni wangu!mke wangu amejitahidi sana kunioneshea kuwa sina changu ila nilikuwa nampotezea sana.Ameamua kuolewa kinyemela...
Habari wana jf?mimi ni mwanamke wa miaka 31,naishi na virusi vya ukimwi,natafuta mchumba anaeishi na vvu kama mimi ili tufarijiane na tulinde wengine.Awe mkristo,kabila lolote na awe na shughuli...
Hope si mademu wote wana company,namtaka mmoja kesho ila asiwe selective kwenye vyakula na vinywaji,napenda kitimoto so naye awe mtumiaji,napenda muziki pia
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.