vipi hali wana JF,niko Nairobi kenya na ningependa ku Skype na any single mature ladies from Tz, awe dem anajiheshimu sio wale wenye mambo ya kijinga kwenye internet, my Skype Id is mwishokileo
Peopleeeeeeeeessssssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kumekuwa na mpambano wa chini kwa chini kila mtu kutaka kujiposition kwa Prisoner 46664 wazi wazi na kisirisiri!!!! Sasa Kujihakikishia ushindi...
Habari JF, mimi ninaitwa Colins ni mvulana umri wa miaka 27,nimehitimu degree ya kwanza pale Chuo cha Usimamizi wa Fedha mwaka jana na kwa sasa niko na kampuni yetu ndogo ya kuwasaidia wakina mama...
Habari zenu, Kwa mara nyingine najitokeza mbele yenu kuwafahamisha kuwa natafuta msichana mtulivu(anaehitaji kutulia kimapenzi) mwenye wasifu ufuatao; awe na umri wa kuanzia miaka 22-26, awe na...
Mi ni mwanaume miaka 34, mweusi, urefu 5.6ft,umbo si mnene wala mwembamba(wastani), Elimu chuo kikuu, mkristo(Lutheran), naishi Dar, natafuta mtu ambaye atakua mpenzi, mchumba mpaka mke kama...
Natafuta msichana wa ku-spend naye sikukuu hizi, yaani kuanzia tarehe 24 December, 2012 hadi tarehe 02 January, 2013. Sifa zake ni:-
Awe mrembo na wa kuvutia
Umri kati ya miaka 18 - 25
Asiwe...
mm ni mvulana umri 25, elimu yangu ni chuo certificate ya bussness... kazi mfanyabiashara. nipo arusha. nahitaji msichana ambaye atakuwa mke wangu awe na umri kuanzia 20 hadi 22, tabia njema...
WASIFU WANGU
miaka 28
ni mfanyakazi serikalini
mrefu wastani
mweusi kidogo
mhitimu chuo kikuu
mkristo rc
natafuta mwanadada any colour,,mfanyakazi mkristo, mrefu wa wastani, umri usizidi...
Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hapa nchini umri wangu ni miaka 28.Natafuta mchumba wa kuoa umri kuanzia 23-28,ambaye tutafahamiana na baadaye kuishi pamoja.Asiwe na mtoto,awe hajawahi...
nimechoka kuwa lonely japo nipate wa kuliwazana naye me ni kijana wa kiume miaka 24 ni mwanafunzi ktk chuo fulani hapa dar natafuta mwenzi wa huba kwa maelezo zaidi ni-pm nitajibu NB:ITS MORE THAN...
Mimi ni mwanaume nina miaka 30 napenda kuwa na rafiki yeyote aliye DAR ES SALAAM,dini yeyote,rangi yeyote,umri wowote,ila awe mwenye busara staki matusi pia awe ana uelewa na maisha asiye na...
Kwa mdada ambaye atakuwa huru kunipa kampani kwenye harusi ya rafiki yangu anakaribishwa sana. Harusi itakuwa tarehe 01/12/2012 Jumamosi, ukumbi giraffe ocean view hotel. Ni - PM.
Nimekuwa katika mahusiano kabla lakini mashua ya mapenzi ilipigwa na dhoruba kali na tulijikuta tumetenganishwa kila mmoja ng'ambo nyingine katika kisiwa cha maisha tofauti.
Nimekuja hapa...