Hi everyone, :flypig:
Iam serious looking for a serious woman aged between 20-26,graduate, self employed or an employee of any entity, well experienced in relationships (especially those...
Hi wana jf,
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26,kabila Mnyamwezi,Elimu ya chuo(sayansi ya siasa) ni mfanya biashara mdogo na mmiliki wa Youth Network Development Investment iliyopo Mkuranga mkoa wa...
Jina naitwa Jumanne Mfaume.Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha Tumaini NATAFUTA mchumba sibagui dini wala kabila.awe na umri kati ya 18-21 awe anasoma au hasomi.kwa mawasiliano:cheer2:0715-585402...
Hurry up
Inbox mi and We make deal
U must hav diploma or degreeee, then u take care my baby!!!!!!
NB i don need marriage 4 oll my life
I am Aging at 30
Nahic kufikia robo ya malengo yangu nilojiwekea,ninaelim ya chuo!umri 30!nimeajiriwa shirika binafsi pia ni mjasilia mali!nilisha wahi kupata mkasa wa mapenz nikaumia sana!kwa kifupi nilimsomesha...
Habari zenu, mimi ni mdada age yangu 30-33 nina tafuta mume mwenye age 34-45 asiye oa, asiye na mtoto zaidi ya mmoja, sijaolewa, sina mtoto, nina elimu ya chuo, nimeajiriwa. Mume mtarajiwa awe ana...
nina miaka 48 mwanaume,kwa anayeamini kwamba mapenzi kati ya mume na mke ni ushirikiano na kushare si mambo ya mapenzi kuwa mtaji kama huna hela sina penzi,nishaumizwa baada ya kupata mitihani ya...
Naomba nirudie kupost mada hii.
Ni kweli natafuta mchumba wa kike. awe na sifa hizi:
Umri: miaka 19-24
kabila:mkurya/mjaluo
dini: mkiristo
kazi: akiwa mwalimu itapendeza sana(mwalimu shule ya...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi
3. Mwenye...
mimi ni kijana wa miaka 24 natafuta mpenzi wa kuwa nae ikiwezekana hawe mke baadae especial hawe muslim, elimu yake iwe ya kawaida, hawe na umri wa miaka 18 hadi 23 anaye jua mapenz ni nini, am...
Nimekuwa nafuatilia post nyingi sana humu kwenye haka ka sub forum ka MMU. Nimegundua kitu, post nyingi zinazotolewa na wasichana/wanawake kutafuta wapenzi/wachumba au waume zimekuwa zinapata...
Umri wangu miaka 22(male), umbo langu wastani,urefu fut 5.7, bado nasoma college, Nahitaji mpenz(female) awe mweupe au maji ya kunde,slim,not more than 5.7 fut tall,and mostly aliyechoka kutendwa...
jamani mimi natafuta rafiki wa kipiga naye habari awe msichana na asiwe na miaka zaidi ya 20 mawasiliano ni +255764936964 au EMAIL yoseanthony@yahoo.com