Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana miaka 27 mwajiriwa ktk idara 1 serikalini, vilevile nko mwaka wa mwisho ktk moja ya chuo kikuu hapa mjini. Natafuta rafiki wa kike ambaye atakuja kuwa mwenza wa maisha hapo baadae...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi Mwanamume mwenye miaka 40, nimeachwa na Mke wangu kwa sababu nimekata kuokoka kwa Mwingira. Natafuta mwanamuke mwenye sifa zifuatazo: Awe na Umri kati ya miaka 30 na 35. Awe tayari kuzaa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nafafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo 1.awe na hofu ya mungu mean ana sali 2.mkristo 3.awe na elimu kuanzia diploma na kuendelea(understanding) 4.good looking chocolate colour au mweupe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mambo Vipi Wadau! It's Ma Hope That Tutashirikishana Mengi. Natafuta Msichana Mkatoliki Anayependa Kuimba Kwaya, Umri 18-25. Umri Wangu Ni 26, To Be Ma Lovely Wife After Few Months Later...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Awenasifa amemaliza form 4.mtanzania,makazi dar,mkristo.umri asizid miaka 23.amina
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi all! natafuta marafiki wa kike na kiume kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kushauriana different matters e.g ujasiriamali, masomo, namna ya kukabiliana na matatizo mbalimbali na maisha kwa...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Hi wadada wa JF,full kufunguka mtoto wa kiume hapa umri 30 yrs, kwa mdada anaependa kuinjoi nami na kupotezea mastress, Plz ni PM.Kama sio mdada don't comment.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
29 yrs male..living in Dar es salaam..lonely, a woman to be my better half.. any kind , not soo tall..soo thin..any religion..any skin colour..Working..educated..not below A...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale girls waliobaki hostel mabibo only, natafuta company ya kupiga stori during evening hours, dinner pamoja na kubadilishana mawazo. I'm a male btn 25-35yrs of age and I ain't a student
0 Reactions
14 Replies
2K Views
jamani natafuta mwanamke wakunipa mapenzi stress free...yaani sie nikupeana company bila kuudhiana na kuja hapa MMU kuja kuomba ushauri wa mahusiano yetu. awe mweupe mrefu sio chini ya 170cm...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana wa miaka 24, natafuta girlfriend: Awe na miaka kati 18 - 19. Awe mkristu, mwenye nidhamu na heshima. Awe na mapenzi ya kweli. Awe mweupe au maji ya kunde. Awe mrefu. Asiwe mbeya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike wakubadilishana mawazo, huku nikusubiri ajira baada ya kuhitimu masomo yangu. Awe na UPENDO NA UKARIM WA KWELI. Tuwasiliane kupitia malimangosha@yahoo.Co.Uk
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mama wa watoto wawili nina umri wa miaka 31 ni mwajiriwa serikalini napenda kuwa wazi ktk jamvi kwani nimekuwa mpweke kwa muda mrefu hivyo basi nahtaji mwanaume mwenye sifa hizi -Awe...
3 Reactions
48 Replies
7K Views
Ni kijana wa kiume, nina umri wa miaka 26, elimu yangu ni ya chuo, nafanya kazi za kujitegemea, mrefu wa wastani, mweusi kwa rangi, umbo la wastani, Nahitaji msichana mwenye umbo la kawaida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wana Jf nampenda sana my class met lakini wala hani pend. Unajua ilikuaje 1st time am join in unvst of st,John i was met a girl who was love me a lot yani she was crazy over me but sudenly...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Asiwe chini ya miaka 25 na si zaid ya miaka 40.mwenye maadili na mapendo ya dhati.kwa maelezo zaidi nicheki hapa. Zenji14@hotmail.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
No matter which colour u ar o religion, what a care z ya ur self n ya.age 23-45 plz very important.halla me at 0713208553 kiddy_adams@hotmail.com and final let's share that place attached here frnd.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Napenda kua na mpenz mwenye umri usiozidi 19.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nipo serious katika swala hili na nimeamua kwa dhati kabisa kutoka moyoni mwangu kutafuta mwenza wa maisha kwani maisha ya ubachela yana vishawishi vingi na masha ya kuruka ruka ni ya hatari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…