Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, ni handsome, mrefu , maji ya kunde. nimeajiriwa. natafuta mwanamkeke wa kuoa awe na tabia nzuri, awe mwenye mvuto. umri kuanzia miaka 25 - 30. awe majiliwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Helo how are you! Am a boy aged 23 am a unv student at Dar am realy looking for a girlfriend being living in dar age 18-23 for any wishes to be with me please send sms "pm" or you may sms me on...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninahitaji rafiki wa kike aliye mstaarabu umri kati ya miaka 18 hd 25,dini na kabila sio kikwazo ila awe mtu asiyjichubua au kutumia vipodozi hatarishi. mtu ambaye sio tegemezi na anayejituma...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Natafuta mchumba wa kuoa aliye committed and ready to be married Sifa awe medium size, mweupe na elimu ya first degree atleast nipo morogoro aliye tayari ani pm au tuwasiliane kwenye email...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza naomba kama aikuhusu usitoe comment na matusi pia kejeli sitaki, mwenye nia nzuri na mimi anitumie masiliaono maana serious ishu, kama wewe ni msichana mwenye tabia nzuri na unajiamini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
(This is serious) Mimi mwaume umri miaka 25 nipo Saut mwanza nafuta mpenzi mwenye tabia nzuri ambae tutakuja kuoana nikimaliza chuo mwakani, tuacliana kwa namba 0656179600
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Mimi ni mwaanaume nina miaka 26, natafuta mschana ambaye naweza kuanza nae maisha, tabia njema ndio kigezo changu kikubwa, awe mwenye mapenzi ya kweli. hapokuwa nimetendwa mara kadhaa lakin sina...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi naitwa j, nina miaka 30,jinsia united states, ninafanya kazi american air force, I am a us citizen, sikuzaliwa tz ila huwa natembelea sana huko. Nahitaji kujenga urafiki ili baaadae nioe...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wiki ijayo nakuja mtwara mjini,nitakuwepo huko kwa week 2 mpaka tar 28 may.Sasa kwa vile mm sio mwenyeji sana huko,ntahitaji company ya washkaji wa jf angalau tubadilishane mawazo ili nisiboreke...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Helo am a boy aged 21 am looking for a Girlfriend. For any one who is able contact with me through! 0654509732. Gud luky
0 Reactions
4 Replies
997 Views
Habari za leo wana JF. Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, mpole na mwenye hofu ya mungu, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiliwa. Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 19 - 23, elimu ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nina miaka 28 chubby 80kgs urefu wangu 160cm maji ya kunde nimeajiriwa na NGO napenda mzee kuanzia miaka 50-60 ambaye hana mke(mjane) awe na watoto wakubwa na wajukuu pia ni sawa tuu, kawe kanene...
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Mimi naitwa Power G. Nina umri wa miaka 32, urefu futi 8 na umbo langu kama ninavyoonekana kwenye picha yangu hapo juu. Nina elimu ya msingi na kazi yangu ni mnyanyua vitu vizito. Natafuta binti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani Asanteni,siamini mie. Hatimaye nimempata liwazo langu la moyo humu Jf,anaitwa Ndg: L*... Kwani amefiti vigezo vyangu,kikiwemo kile cha kwanza nilichokiwekea mabano. (Rejea thread yangu ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM. Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam na mwenye kujiheshimu na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Yap nipo Dar natafuta mchumba, umri wangu ni miaka 23 priority zaid kwa yule anayetokea maeneo ya dar
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naitaji mchumba(wakike) anayeishi songea nitapenda zaidi awe mmatengo au mngoni, sina haja na mvuto kwan mm navutia tu, elimu yoyote tu! Umri awe na miaka 18-22, aliyetayari anipm upesi tumeane...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Thread closed
1 Reactions
49 Replies
4K Views
Awe binti wa kuanzia miaka 18-24,awe tayari kuishi kama wana ndoa wanavyoishi (waleavyo familia). Awe mtu wa kufahamu maisha ni nini. Atakaye kuwa tayari anitafute kwa namba 0785454572. I'm...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…