Natafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo:
1.Awe na heshima
2. Awe mvumilivu
3. Mchapa kazi
4. Mwenye huruma
5. Awe mweupe wa wastani
6. Awe na mwili wenye ukubwa wa wastani
7. Awe na urefu...
Jana nilitoa tangazo katika safu hii. Jamani niko sirias. Leo narudia tena.
Natafuta mchumba mwenye heshima,huruma, uvumilivu, mchapakazi, mweupe wa wastani, mwenye mwilli wenye ukubwa wa wastani...
Mimi ni kijana mtanashati, mtiifu, mpole, na mwenye kujali hisia za mtu. umri wangu ni miaka 24. natafuta rafiki wa kike(girlfriend) na kama ikitokea nikaendana nae kitabia basi awe mke wangu...
Habari JF.
Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT.
Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa...
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe...
Mi ni kijana nadhifu
Natafuta msichana awe maji ya kunde, miaka 24-27,mkristo, msomi angalau Diploma,mcha Mungu, mwenye kujituma,mwaninifu mtii,mpole wastani
Asiwe mlevi,mvuta sigara,
Mi ni...
habari ndugu,
mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family
ABOUT ME:
Umri:29
kabila:mjaluo/mmasai
Kazi:mwajiriwa
Rangi:mweusi japo...
Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe...
'The power of asking'
asking whtever u want and u might get it.
Let me take ths chance as a very important oportunity in my life to scream out loudly asking if there is a someone to mary me...
Ivi watu wanao tafuta wachumba apa jf wanafanikiwa, na wanawapata wa dizaini ileile waliokua wanaitaji,au inakuaje kwawalio fanikiwa mpaka wakafunga ndoa ebu tujuzeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.