Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama upo fresh,tupia pamba zako zile za 'lawama' then nipm nikupe contacts. Sitegemei kupata coment ya boyz
0 Reactions
26 Replies
2K Views
vigezo na mashaliti: 1. awe christian na awe mcha mungu 2. awe anatoka kanda ya ziwa 3. awe atleast na diploma yoyote bali isiwe polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote ya usiku 4. age range...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
salaam, nahitaji mchumba/mke anayejiheshimu/muaminifu mpenda maendeleo. we can opt for ndoa ya serikali if islam mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili frangerry1@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nakumbuka ilikuwa cku ya j4 ucku wa kuamkia j5 tulipokuwa tunajiandaa na mtihani wa jiografia,ndipo nlipopigiwa cmu n binti akiniomba aje tudiscuss naye akidai kuwa hlo somo lilikuwa gumu kwke...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae na kubadilishana mawazo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Awe anajua kishwahili na awe tayari kwa kuhalalishwa kuwa mke .Awe na shughuli yake halali ya kumuingizia kipato .serious alie tayari anijuze
0 Reactions
20 Replies
3K Views
anahitajika haraka sana, mimi ni mwansheria na mfanyabiashara hapa dar es salaam, pm me.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
nipo seriouz nahitaji mtu wa kusaidiana nae maisha mwenye vigezo vifuatavyo:- age: 22 to 27 education: at least form 4 with valid credits body type : slim and moderate tall religion: christian of...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
msichana mwenyeji wa mkoa wa ruvuma Elimu form 6+ Umri asizidi miaka 23. Mwenye sifa aniPM please nimpe taarifa zangu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilikuwa na girfrnd tangu nlipoanza kdto cha kwnz n tulkuwa tunapendana sana! Baadaye nlipoingia kdto cha II,nliamua kuhama shule na ilikuwa n nje ya mkoa mwka 2009! Bahati mbaya hakuwa na cmu n...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naitwa Hussein Juma wa Shy-town n nina umri wa miaka 21 sasa! Nimehtimu kidato cha nne mwka jana na nimefaulu kuendelea na masomo ya kidato cha tano&sita hvyo nasubr selection nipangiwe! Napenda...
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Kuna mdada tuna kaa nae kitaa,ana miaka 24 ana hitaji mchumba kuanzia miaka 26 na kuendelea,hachagui dini wala kabila,kwa mwanaume aliye tayari awasiliane naye kwa namba zifuatazo,0789 555588 au...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama wewe ni msichana wa umri tajwa hapo juu tuwasiliane kama unataka kuolewa mwaka huu lakini uwe mwenyeji wasingida au tabora kabisa,uwe tayari kupima,uwe tayari kutumia muda wako kujua ukweli...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anahitajika msichana mwenye umri wa miaka 19 hadi 23 awe na sifa zifuatazo:- anaye jipenda, muelewa, mwenye fikra chanya na aliye na msimamo, urefu wa futi 5.5 na kuendelea, asiwe mnene au...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni ME mwenye umri wa miaka 28. Natafuta mchumba vigezo vifuatavyo. Mchapakazi Umri wa kuanzia miaka 24-26 Mwenye mwili wa ukubwa wa wastani Rangi ya kunde Mrefu wa wastani Elimu yoyote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Am mohamed 24 nipo dar natafuta mchumba umri kuanzia 25-35 dini yoyote sichagui kabila elm yoyote ila awe mwenye kujishughulisha,me ni muajiriwa kwnye clinc moja hapa jijini plz km upo cirius...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
natafuta mrembo tuwe wapenzi,uhusiano wetu uwe wa simu zaidi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna tofauti gani kati ya tabia za play boy na mwanamke malaya, je anchokifanya play boy ni sahihi na sio kama uhuni anaoufanya mwanamke malaya.. COMENT
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Natafuta side b of mine. Cjalishi umri ila ni vzuri awe mtu wa kanda ya masharik ili isiwe ngumu kukutana. I'm always real
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom