Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi niko Dar Maeneo ya kariakoo ningependa sana awe member wa jamii forum ili kupashana latest news and tricks
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanawake wa kibongo,imekua nikituma nyuzi kumsaka mrembo humu nakatishwa tamaa na wanaume kua nimepotea,ila naamini sijapotea kina dada warembo.mimi nina miaka 27 na napenda kua na mwanamke...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke wa kua nae,awe mweupe na mrefu,miaka 20-27,Ani pm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
the majority huamin kuwa mpnz apatikanae kwa njia ya mtandao ni msanii oriented, sasa ndugu zangu, wa ukwel hasa yupo namna gan?
0 Reactions
0 Replies
862 Views
futa mchumba (binti)..awe muislam...mwembamba na mrefu. Awe na maadili ya kiislam, akiwa na elimu kidogo ni vyema zaidi. Mimi nina masters na nafanya kazi wa tahasisi ya serikali Kama interested...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Stop getting involved in relationships for the wrong reasons...relationships must be chosen wisely...its better to be alone than to be in bad company..there's no need to rush...if something is...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi naitwa Hassan Said ni muajiriwa wa Mamlaka ya Bandari umri wangu ni miaka 34,urefu sm170,na Elimu ni ya chuo sijawahi kuoa na sina mtoto .Najitokeza kutafuta mchumba ambae atayekuja kuwa mke...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naitwa Kelvin,nna miaka 26,home ni Mwanza ila kwa sasa nipo masomoni Dodoma,chuo kikuu.Natafuta msichana aliye serious na tayari kuwa mchumba wangu na hatimaye ndoa kuanzia miaka 18-24.Mimi ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hllw there! nmetafuta binty ,lakn kila wakat naangukia pua. labda jf ntpata gr8 thinker mwenzang.....
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Vigezo na Mashariti: 1. Awe christian na awe mcha mungu 2. Awe anatoka kanda ya ziwa 3. Awe atleast na diploma, bachelor, master yoyote bali isiwe ni polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kama kuna binti wa kiarabu au msomali humu ndani plz ni pm tuongee..
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Natafuta rafiki wa kike wa kushibana kabisa awe mkazi wa Mara,Mwanza,Moro au Dar-es salaam sibagui dini au kabila plz nichek tuwe marafiki wa ukweli.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
am looking for a girl friend who have 19-23 years, no matter what level of education she have.. aiming for charting and changing ideas.. i will be much happy a day i get that friend..
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Ladies this is your ticket to fly to US, Our new DREAM LOVE international dating and marriage agency in Tanzania itaanza kuregister Tanzanian ladies who have interest or dreams to Marry or date a...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta marafiki wakawaida wakike nawakiume kwaajili yakushauriana,umri wowote,aliyetayari namkaribisha.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, habari za jioni. Kabla sijatoa hoja napenda nianze kwa utangulizi. Nimekuwa member hapa JF kwa muda kidogo, naamini ni sehemu ambayo kuna mkusanyiko wa watu wengi ambao ni wastaarabu na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Dar Es Salaam natafuta mke wa kuoa. Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike ambaye yupo 20 or below, wakubadilishana mawazo kama yupo anitext 0713079282 I'm so friendly!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hey. Nina mke na watoto3,sasa naitaji kuongeza mke wa pili.dini yangu ni islamic,awe muislam pia aliyesoma dini japo kidogo. Elimu ya dunia ni japo kiwango cha kujua kusoma na kuandika. Umri...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya kubhat nae pia aweze kuwa mpenzi wangu, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 23. awe na asili ya kiarab au msomali au asili ya mzanzibar. Mimi naishi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom