Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Naandika hii post kwa niaba ya best friend wangu. Kwa kweli yeye hafahamu kama nimemuweka humu, ila kwakuwa alinidokeza nia yake nikaona si vibaya kujaribu na JF. Tafadhali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi!
Helo wapendanao,, wanajf, natafutarafiki wa kike, wakuchati tu,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kupanua wigo wa mambo ya ki-social kwa hiyo naomba mwana-jf yeyote yule wa kike aniPM ili tuweze kuona namna gani tunaweza kuonana wikiendi hii kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
nina miaka 26 nina g.f ambaye yuko mbali kwa sasa sijaoa. umbo la wastani kg65, urefu cm164 napenda sana mpira situmii kilevii sipendi kwenda club elimu yangu ya juu... natafuta mrembo wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mi kijana wa kiume,umri wangu ni miaka 28,nipo dar. Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo -awe mcha mungu,kristo -umri kati ya miaka 20-25 -awe mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa au mkoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipo SERIOUS, umri wangu ni miaka 28, nina elimu ya form 4, ni mwajiriwa serikalini, nahitaji aliye na umri usiozidi miaka 28, na awe amehitimu 4m 4 na kuendelea, dini yoyote, pls asiwe mfupi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani ninamaanisha i want to intr ma cv kabla ya yote,kishule nimeishia form four, ila ni mwajiriwa srkln, ma age is 30 yrs,ninayemtaka asivuke 28,elimu form four na kuendelea, na awe na mawazo...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Mambo vipi jaman mi nikijana mwenye miaka 24, nimemaliza pale mliman mwaka huu, so bado nipo kitaa sijapata raman ya uhakika, nikiwa pale kuna dem nlikuwa nae ila soon 2lipomaliza huwezi amin...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kila nikipita hapa 'love connect' nakuta posti za wanaume tu nyingi zikisema wako wapweke wanatafuta wenza/wapenzi/wake/wachumba/marafiki wa kike...hadimu sana kukuta mwanamke kaposti kutaka...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani natafuta mwenza wa kupitisha week ends tuuu ! kutoka pamoja na kufurahia maisha yaliyobaki ! Awe mdada mrembo anayejiamini kuwa mrembo na asizidi 30yrs , please !
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Awe dar pia awe cngo age 18 mpka 22..mapenz mazito ntampa my no 0656 40 47 21 awe mwaminifu cjali dini,
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hello wana JF mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na nina miaka 26 na bs in computer science tatizo langu ni kwa bahati mbaya tulishindwana na mama wa mwanangu na kukimbilia Dubai kwa ndugu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana nina umri wa miaka 23 natafuta mchumba ili baadaye aje kuwa mke wangu please im siriaz contact0755359708 napenda aliye siriaz tu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Najua wapo weng watajiuliza maswal meng sana ila ni kwel kwamba natafuta msichana ambaye baadaye atakuwa mke wangu, vigezo umri:asizidi miaka 23 awe tayar kupima ukimwi asiwe mref wala mfupi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
hello jf...iam very serious with this!!mimi ni kijana mwanaume wa umri usiozid 30...maisha yangu kwa ujumla ni ya kawaida kwa sasa kwani ninajitegemea..najitokeza kwenye jukwaa hili kwa request...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Natafuta girlfriend serious, mcheshi, mwenye hekima, anamjua Mungu.. Umri kuanzia miaka 20-26.. Nickname isiwatishe ni funny name.. Naishi Mikocheni A, elimu yangu ya Chuo.. Aliye tayari...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
vijana wenzangu wa kitanzania natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo kama upo tayari find me @ +255718656164 or ckundawa@hotmail.com
0 Reactions
20 Replies
3K Views
kama kawaida wana jf mimi ni a boy and am lookng 4 a girl to who i will share my views of life spheres!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom