Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Warembo wa JF, natafuta mpenzi for a long lasting relationship. Mwenye sifa zifuatazo atapewa kipaumbele: Education: Above form 6 Sura: Awe na sura ya kike Rangi: Mweupe...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Helo jf natafuta marafiki wa kubadishana+nao+mawazo unaweza kunisend+sms kupitia Namba 0763651341+
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa, seriouly aniiibox for more info
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina miaka 27, ni mwembamba kiasi, maji ya kunde, ni mkristo (RC), nimehitimu chuo. Natafuta mdada ambaye atakuwa mke wangu baadaye, umri 20-25. Mrejesho hapa hapa.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimebaki dilema kwa huyu dada,amekuwa just a friend since nilipom-approach 2009. Aliniambia yuko single na hayuko tayari kwa mahusiano wakati huo. Kipind chote ninachoendelea kusubiri anasema yuko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sifa ya mchumba nnaemtaka ni za kike, so its obvious kwamba I should kidume, jst by implictn of th msg descriptn!
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Mie ni kijawa mtanzania ila sipo Tanzania kwa sasa...Ningependa kukutana na marafiki wa kike wenye umri kuanzia 18-26....Mengi tutaongea huko,aliye serious...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. At my suprise nimejikuta natamani kampani ya member mmoja hapa.Naogopa kumchana live maana yawezekana akafikiria kuwa nataka kuvunja relationship yake(kama anayo). Ni...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
Jamani nina hamu ya kutoka na angalau mdada mmoja wapo humu JF hakika atafurahi raha nitakazo mpa. Mwakaribishwa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Broke up about a year ago..I av bn lvn like a dead body.. If you cn be n you need to be you are always welcome as long as ma door is open.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wanajf natafuta mpenzi atakaekua mahabuba na sabuni wa roho yangu.Mimi ni mkweli,mwaminifu na si mbaguzi.ajitokeze mwanamke au mwanaume,mfupi au mrefu,mweupe au mweusi.nawasilisha
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Me ni kijana wa miaka 27, naishi mikocheni A, Nipo Bachelor mwaka wa pili ..<br /> Nahitaji rafiki wa kike awe muelewa umri kuanzia miaka 20 na kuendelea, awe mchangamfu, ..<br /> Aliyetayari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi natafuta mchumba wa kike, aliye na vigezo vifuatavyo ani-PM;- Umri kuanzia miaka 35 kuendelea na Awe hajabikiriwa. Wasifu wangu:- Jina:- Jsaudi Kabila: Mgagagigikoko Umri: Miaka 58 Picha...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani ninatafuta mchumba mwenye mtoto mdogo wa kike...kwa moyo wa dhati kabisa nipo tayari kuwa baba wa mtoto huyo....note: awe anajitosheleza kiuchumi...ambae yuko tayari na ana kigezo hicho...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nina miaka 27 na ninatafuta jimama waku do nae na awe mpenzi wangu....nina mwonekano mzuri na ni fundi wa mapenzi....nimeamua hivyo kwa sababu wamama watu wazima wakipenda wana penda kweli na...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
habari zenu wakuu poleni na majukumu, natafuta Divorced aliye tayari ani pm
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani kuna m2 ambae ni mtalaka na watoto 3 anatafuta mume. Vigezo:- mwanaume awe na miaka 35 hadi 40, mkristo, awe mjane au mtalaka, awe na uwezo wa ku2nza familia, msomi angalau digrii moja...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
my name is Elton,a male aged 27 now working with a certan company here in town, i am looking for a very decent, respectiful, charming, a little bit tall with a good fig and who is a form...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
so lonely 25 boy looking for a girl to make relationship with,any girl interested plz send me your contacts.I'm currently found Mwadui SHY
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Sifa kuu ya huyo binti awe anaishi Amsterdam ila asiwe mvuta bangi,sijali dini wala kabila.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom