Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara. Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari zenu wadada wa JF, Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Natumai hamjambo. Mimi nimwanaume wa miaka34 saivi.Nimeajiriwa nipo kikazi Moshi,dini yangu ni mkristo. Nahitaji mwanamke nitakae dumu nae Kweny uchumba kwa muda mfupi(ili tu kujuana kiundani),na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Naitwa Sam Miaka 35 Naishi moshi Kazi yangu biashara Kabila mchaga Dini Mkristo,, KKKT Mweusi mrefu Sio mnene wala mwembamba sana NATAFUTA MKE MTARAJIWA MWEYE VIGEZO VICHACHE TU KM IFUATAVYO...
3 Reactions
84 Replies
30K Views
Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe! Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi...
6 Reactions
106 Replies
10K Views
Mimi ni mrefu mweusi kiasiii mwembamba Anahehitajika English figure mweupe kiasi Mengine tutajadilii na atakae patikana...[emoji176][emoji176]
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Naitwa Imma Sanga natafuta mke wa kumuoa, dini yoyote ila awe na hofu na Mungu. Awe na umri wa miaka 20-26, mimi nina umri wa miaka 30. Anitafute DM.
1 Reactions
18 Replies
745 Views
Kama kilivyoeleza kichwa Cha habari hapo .. mm nimkazi wa Arusha kazi Tourguide natafuta rafiki wakike mwenye umri kuanzia miaka 20-26 kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kufahamiana
1 Reactions
2 Replies
447 Views
Mimi ni mwanaume Umri wangu ni miaka 33 Mwajiriwa serikalini Nahitaji mke Vigezo.. 1.Umri..30 kushuka chini 2.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 3.Dini awe mkristo ##Mengineyo tukikutana tutayaongea
4 Reactions
12 Replies
642 Views
Mimi ni mwanaume umri 37 ni mwl natafuta mschana awe anajipenda na kujiheshimu nipo Dar es salaam 0689104184 siyo uchumba kuoa
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Za mida hii Nina uhitaji wa kupata mke wa kufanya nae maisha, nahitaji awe na sifa zifuatazo. 1.Asizidi miaka 30 2.Awe na uelewa muhimu wa maisha 3.Napenda awe na muonekano mzuri, japo ni jambo...
2 Reactions
4 Replies
415 Views
Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi Dar ni mjasiriamali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi...
8 Reactions
66 Replies
6K Views
Habari Ni kijana wa miaka 28 Kutokana na matatizo Yangu (kiafya) sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida. Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi. Nimejiajiri Ni msomi,mstaarabu na...
4 Reactions
86 Replies
8K Views
Hello wanajamvi. Ukweli tumefanya mistake nyingi ktk maisha, hasa ktk mahusiano. Tukifanya machaguzi mabaya, kukosea kwa mitazamo n.k Je, Tuishi kwa majuto na huzuni baada ya kuharibu mifumo na...
1 Reactions
4 Replies
552 Views
Helo diaz, Mama wa 32yr, 1 kid, government worker & mjasiriamali, sukuma & Christian. Natafuta mwanaume aliye serious na maisha mwenye hali kama hiyo, ambae yupo interested please come. Nyie...
20 Reactions
53 Replies
3K Views
...
1 Reactions
5 Replies
591 Views
Ni kijana umri miaka 35, Elimu yangu diploma, sijawahi kuoa nipo Dar, dini mkristo. Bado natafuta mwenza wa kike umri miaka 28-32, awe anajishughulisha, awe mkristo, awe anakaa Dar. Aliye tayari...
1 Reactions
2 Replies
887 Views
Jina: Tumaini Umri; 31 Makazi: Mwanza Dini: Mkristo Kazi: Wizara ya mambo ya ndani. Natafuta mke miaka 25-30 awe Mwanza...
1 Reactions
16 Replies
760 Views
Mimi ni mke Nipo Arusha Mfanya biashara Umri 26 Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania Namuamini Mungu Natafuta mwanaume wa vigezo Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang...
19 Reactions
118 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…