Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za muda. Wasifu wangu. Miaka 27 Mfanyabiashara mdogo. Elimu ni Diploma Dini Mkristo. Makazi yangu ni Kanda ya Ziwa. Nahitaji mwanamke ambaye nitamfanya awe mke wangu. Sifa nazohitaji...
2 Reactions
12 Replies
822 Views
Salaam! Mimi ni kijana wa 44 years Mjasiriamali Niko Arusha Nimekaa kwenye ndoa miaka 16 ila ilikuwa ni ndoa yenye vioja vingi sana Na hatimaye tukaachana rasmi Nina watoto 3 Maisha yangu ni ya...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Mimi nina miaka 34, natafuta mwanamke wa kinyakyusa aliye mnene na mrefu. Umri wowote. Nataka ambaye mbaye yupo tayari kuanza maisha ya kindoa hata kama ana mtoto. Nipo Songea. Namba yangu ni...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu! -Umri 32 -Dini Mkristo -Elimu Degree -Kazi Mwajiriwa -Sina mtoto Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo Awe- Dini mkristo -Umri 34-45 -Awe anajishughulisha
6 Reactions
18 Replies
2K Views
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa...
12 Reactions
38 Replies
3K Views
Maisha xio haraka na haraka sio maisha Ivo Sina haraka na maisha na nahitaji Baraka kwan kutafut mke sio kukosa niliitaji Kama Kuna mtu atawiwa I'm free Sifa Ni simple ty Mkwel ,muwaz Umri;18...
1 Reactions
4 Replies
738 Views
Rafiki wa kike anahitajika umri kuanzia miaka 18 mpaka 50 Awepo maeneo ya Dar Dini yoyote kabila lolote Karibuni pm
2 Reactions
1 Replies
594 Views
1-Awe muislamu 2-umri 20-30 3- kabila lolote lile 4-Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea 5-awe ameajiriwa au hajaajiliwa ni sawa tu,akiwa ameajiriwa basi akiwa mwalimu ni vyema zaidi. 6-Awe...
2 Reactions
11 Replies
714 Views
Habari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nawasalimu Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kama dini yako inaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja basi karibu au kama hujaoa kabisa pia karibu[emoji847] Sifa zangu 29yrs Muislam Maji ya kunde...
14 Reactions
57 Replies
12K Views
Mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 18-45,awe na mfododo hata kidogo nataka awe mpenz wangu,nipo Geita,hakuna masharti,ila kupima HIV ni muhimu sana. [emoji16][emoji16][emoji16],aliye tayari aje pm...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za hapa ktk jukwaa pendwa mimi nimekuja kuomba ombi hapo juu natafuta mpz awe na miaka30/40mimi nina miaka39 awe mrefu kiasi pia awe amejiajiri au kuajiriwa mimi nimejiajiri pia dini siyo...
2 Reactions
3 Replies
776 Views
Sifa Awe na umri wa miaka 33 na kuendelea Awe Muislam na anajitegemea (mfanyakazi/mfanya biashara) Asiwe kwenye Ndoa Sifa zingine karibu pm
4 Reactions
3 Replies
659 Views
Hello Guys mimi ni Mwanaume miaka 30,naishi Dar,Am serious natafuta mchumba,Awe mkristu,mrefu wa wastani,maji ya kunde au mweupe asilia,Asiwe na mtoto,Elimu kuanzia form four na kuendelea, Awe au...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni ki kijana wa miaka 26 ni mrefu na mweusi kidogo nna mwili wasitani maana nina 69KG. Ni mfanyakazi wa sekta flani binafisi. nina usafiri na makazi ya kueleweka. Inshort nina kipato ila bado...
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Habari, hopefully mko salama katika kila jambo jema, mimi pia. Niko hapa kutafuta marafiki kwa lengo la kujengana, uzoefu na kadha wa kadha. Mmi ni Mwanaume, muajiriwa na msomi level ya Shahada...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Awe anayependa kupendwa siyo anayependa kuhongwa. Akiwa Mwanza itapendeza zaidi. Niko serious sana.
2 Reactions
10 Replies
849 Views
Wasifu wangu. Mrefu Mwembamba Dini -Mkirsto Kazi -Mwajiliwa serikalini Umri 32 Situmii kilevi chochote Natokea Nyanda za juu kusini Awe na sifa zifuatazo 1.Mkirsto 2.Mfanyakazi/Amejiajili...
4 Reactions
3 Replies
631 Views
Mi ni msichana nimeajiriwa na umma sijawahi kuishi na mume na wala sina mtoto kutokana na kusoma. Nahitaji mwanaume ambaye anania ya kuanzisha mahusiano mapya awe mkristo anaejishughulisha Asante
9 Reactions
39 Replies
5K Views
Kama nilivyojieleza hapo juu. Nahitaji mwanamke ili awe nyumba ndogo yangu. Napendekeza zaidi awa kutoka mikoa ya Mbeya zaidi sana mkoa wa Songwe. Mimi ni mfanyabiashara nina mke na watoto...
3 Reactions
76 Replies
4K Views
Back
Top Bottom