Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za wakati huu wana-jukwaa, Nina imani mmekuwa na siku njema na mwaka mwema tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021. Tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa Neema hii ya Uhai aliyoendelea...
6 Reactions
98 Replies
4K Views
Kama unamakasiriko usije hapa. Sitaki ushauri, Majukwa ya maadili na ibada yapo. Usinifundishe namna ya kubehave najielewa vyema. Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Karibu Sana wewe ambae unatamani kuoa na umekosa kabisa mwanamke binafsi najijua ni mke ambae ni mama . Naomba niweke vigezo vya mwanaume ambae nitaweza kumvumilia kwa chochote kitakachotokea...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama inavyojieleza Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 22 mpaka 25. Awe mwaminifu nimechoka kuumizwa.
1 Reactions
6 Replies
886 Views
Akiwa na mtoto au watoto amezaa ni vizuri. Akiwa aliachika katika ndoa na angalau alipewa taraka itapendeza zaidi. Asiwe chini ya miaka 35 na asifike 55. Dini yake yoyote aendelee nayo. Mi...
4 Reactions
42 Replies
5K Views
Nawasalimu Kwa Jina La Jamhuri Ya Muungano. Nami nitumie Fursa ya Jukwa Hili Kutafuta Nimpendaye, Wasifu Wangu: Elimu Ya Chuo Single Father, Miaka 41 Naishi DSM Mfanyakazi & Biashara Mkristo...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana...
8 Reactions
69 Replies
4K Views
Hellow wapendwa , Poleni na majukumu , Nahitaji mwanaume aliyeserious ambaye mahusiano yetu yatapelekea ndoa , awe mkristo wa dhehebu lolote , umri 36-50 (naomba umri uzingatiwe ),awe mrefu mana...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Hi guys Mimi ni kijana wa miaka 33 naishi NJOMBE nimegundulika na maambukizi ya VVU last month. Najishughulisha na biashara ya mazao, Elimu ni Degree ya Education, si mfupi si mrefu mwili wa...
12 Reactions
27 Replies
4K Views
Hello Habari zenu ndg wana jf, nipo hapa kutafuta mdada mwenye kujieshimu, anayeweza kujenga heshima ya familia kwa maana ya mlezi mzuri wa familia, Awe na umri kuanzia miaka 24_27 Mcha Mungu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow wapendwa, mimi ni kijana wa kiume miaka 25 now, muislamu, kabila ni msambaa wa lushoto, elimu ni daktar lakini pia ni askari,naishi Dar es Saalam. Nahitaji binti wakuanzisha mahusiano hadi...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama una huitaji na mke bado nipo Vigezo Miaka 30-35 Dini yoyote Mrefu kiasi (maji ya kunde au mweupe) Umbo la kati sio mnene Wala mwemba Mtoto asizidi mmoja Asiwe ameachika Awe anapenda tendo la...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Mimi humu sitafuti mpenzi. Hiyo sekta imepitwa na wakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa...
7 Reactions
78 Replies
4K Views
Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free. Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto. Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari...
12 Reactions
169 Replies
7K Views
Habari zenu WanaJF, naandika ujumbe huu kwenu nikiwa najitambua, Mimi kijana nina miaka 24 natafuta mchumba bila kutania, Binti alioko tayari kuanzisha mahusiano ya kweli na mimi namkaribisha, awe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 21-27 awe dar es salaam tukikubaliana tuje kuishi Pamoja Sifa; 1.Awe mweupe au maji ya kunde 2.asiwe mwembamba Sana wala mnene Sana 3.kama atakuwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naitwa Junior Mkazi wa DSM nina miaka 27 natafuta mchumba wa kike wa kuanzisha nae mahusiano ya kudumu SIFA: 1.Awe na umri kuanzia miaka 19-25 2.Awe mweupe au maji ya kunde 3.Asiwe mnene sana...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa kiume Umri miaka 28 Dini mkristo Rangi mweusi Natafuta mchumba wa kike ambaye ikimpendeza Mungu atakuwa mke Sifa awe kuanzia miaka 24-27 Dini mkristo Awe mchakalikaji maisha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Sifa Zangu 1.Ni mzawa halisi wa kanda ya ziwa Ila Kwa Sasa sikai huko 2.Nina miaka 29 3.sina wazazi wote 2. 4.mm Ni mrefu na ni mwili mkubwa kawaida Ila mm siyo mwemba. 5.nina Mtoto mmoja WA kike...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Wapendwa, Wasalaam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta msichana ambaye tutaanza naye urafiki wa kimapenzi. Lakini lengo hasa ni kuona kama tunaweza kuelewana na kuelekea katika...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…