Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu! -Umri 32 -Dini Mkristo -Elimu Degree -Kazi Mwajiriwa -Sina mtoto Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo Awe- Dini mkristo -Umri 34-45 -Awe anajishughulisha
22 Reactions
169 Replies
14K Views
Habarini Ndugu zangu Mimi ni mwanaume(Kijana), nina miaka 23. Dini yangu ni Mkristo. Elimu yangu ni Degree, sasa hivi ni mjasiriamali. Natafuta binti wa kuanza naye mahusiano awe na miaka kati...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa! Elimu Masters of science in Finance Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi) Umri 33 sina mtoto Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba...
6 Reactions
70 Replies
5K Views
Habari kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo. Awe muislam na umri usizidi 3O. Awe mgumba au asiwe na mpango wa kuzaa. Awe mwenye mapenzi ya dhati na mwenye...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kwa Mabinti/Wife Material tu! Nasisitiza uzi huu ni kwa mabinti/wife material tu. Mwanaume usijishughulishe kwa sababu haukuhusu. Nitamshangaa sana mwanaume atakaye-comment hapa. Pili, hata kwa...
0 Reactions
3 Replies
737 Views
Habari zenu wana JF, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details. Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka...
47 Reactions
227 Replies
45K Views
Habari zenu wanandugu nina umri wa miaka 26 elimu Chuo kikuu nimeajiriwa katika kampuni.natafuta mwanaume alie serious na mahusiano ya kuelekea ndoa.Awe na Sifa zozote ila awe serious na mahusiano...
19 Reactions
108 Replies
16K Views
Natafuta mwanamke mchaga wa kuoa awe mmachame au mrombo itapendeza Umri kuanzia miaka 22.awe tayari kupima na kuolewa ndani ya miezi sita
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Nimejaribu kutafuta mwenza humu lakini wapi naona wanawake wengi hawapo serious. Anakutafuta dm anapotea ghafla mara mwingine anaanza kupiga mizinga hata hamjuani, mwingine anakuomba picha...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Wasifu wangu 1) na miaka 25 2) elimu yangu diploma(engneering) 3)sijaoa 4)mpole 5)kabila mhaya 6)Urefu 1.8M 7)Dini, mkristo Wasifu wa girl ninayemtaka 1)umli awe na 24 au chini ya hapo 2)elimu...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Aisee wakuu, kuna mdada nadate nae ila sasa nimeanza kumchoka, saivi tuna takriban miezi 7. ila kila week lazima nilale nae ata mara 4 au zaidi ila saiv nmemchoka, maana nikimpga bao moja nakua...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Jamani sio kila single mother ni muhuni wengine ni matatizo yetu sisi wenyewe wanaume. Kwa mfano mimi hapa, nimesababisha single mothers wanne hapa...
7 Reactions
61 Replies
5K Views
Hello goodpeople. Brother wenu hapa natafuta pumziko la moyo. Nina 35 years Nina watoto wawili( naishi nao) Divorced Nina kwangu pia ni mkristo Natafuta mwananmke mweye sifa hizi Awe...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nahitaji mume wa kuanzia miaka 39 hadi 50. Awe mrefu na mkweli. Awe serious & Mwenye hofu ya Mungu. Nimejiajiri&nina mtoto mmoja. MUME WA MTU PITA PEMBENI, WENYE UMRI CHINI YA 39 PITA PEMBENI...
12 Reactions
69 Replies
10K Views
Hio hela iko fixed, nahitaji mwanamke mwenye akili timamu tuanze maisha kabla mwaka haujaisha. Umri ule ule wa kiserikali, top iwe 30. Mimi ni mkazi wa jiji la miamba, mvuvi wa samaki aina ya...
18 Reactions
94 Replies
5K Views
Upo baada ya kuchoshwa na vibinti vya mtaani kukulia hela unakuja zako jf unaandika zako unatafuta mke unataja na umri kinachofuata sasa MIJITU INAANZA *mke mwema hapatikani mtandaoni *Humo humo...
1 Reactions
4 Replies
947 Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
1 Reactions
151 Replies
11K Views
Name: John Residence: Tanzania & Kenya Job: University student I'm looking for woman, I don't care about the age. I would love someone kibonge🤣🤣🤣, akiwa na hips itakuwa poa Sana ila not a big...
1 Reactions
7 Replies
725 Views
Mi kijana umri miaka 33. Naishi Moshi..natafuta mwenza wa maisha ambae atakua mke tuwe na familia mungu akijalia. Mwanamke ambae mwenye uhitaji wa mwenza wa maisha alie serious tuanzishe mahusiano...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
salaam. Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa inasikitisha sana. Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija...
45 Reactions
198 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…