Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wasalaam, Naomba kufikisha ujumbe kama nilivyopatiwa. Dada/Mama/ Aunt wa miaka 40 - 45 anahitajika kwa mahusiano na mtu mzima mwenzake iwapo wataridhiana. Ni vyema akawa anaishi Dar es Salaam...
3 Reactions
2 Replies
871 Views
  • Closed
Hello dear friends! Nipo hapa kwenye hili jukwaa for the first time looking for a life partner wakumaliziana muda wetu wa maisha ulobaki hapa duniani. Ok sifa zangu ni hizi hapa. Am a woman of 33...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wana bodi! Mimi ni mtanzania umri wangu ni miaka 31, nimejiajiri, NAHITAJI mwanamke umri miaka 20 hadi 27 awe anajua nini maana ya familia pia awe mcha dini sichagui kabila rangi wala...
1 Reactions
8 Replies
977 Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 Elimu: Electrical and Electronics Engineer Makazi: mbezi luis dar es salaam Kazi: Kwasasa bado sijaajiriwa Nahitaji msichana kuanzia umri wa miaka 21 tuwe...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
Hellow! Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto SIFA ZANGU Umri:30yrs Marital Status:Single,sijawahi kuolewa Colour:Maji...
8 Reactions
39 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 34. Mimi ni msomi ngazi ya Master's Degree. Mie ni mkazi wa Dar na ni Mtumishi wa Umma. Tangazo hili sio jipya nimeamua kulirudia tena kwa sababu...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
SIFA ZANGU Umri 36 Dini: Mkristo Elimu: Shahada ya Uzamili. Ajira: Mwajiliwa wa serikali. Urefu : 172cm SIFA ZA MWANAMKE Umri 30-36 Dini: Yoyote Kabila: Lolote. Elimu: Diploma na kuendelea. Kazi...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
John Madela anahitaji aoe mke wa kinyaturu huko singida ameahidi kumpa sh 150,000 (Laki moja na nusu) cash yeyote atakaye msaidia kupata mke kutoka kijijisi sio mjini. Sifa za John Madela umri...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Leo mbulukenge sasa kwenye hot chair. nahitaji mwanamke wa kuoa. SIFA ZAKE. awe..... mpole mchamungu sibagui dini. mrembo wa tabia na sura elimu yoyote mjasiriamali au muajiriwa ni hivo tu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mkishapeana mawasiliano mtu akakwambia anaomba picha yako...tuma. Unapomwambia "usiwe na haraka utaniona tu" maanake unaficha nini? We si ndio umebandika tangazo kuwa una shida ya kuolewa? Picha...
8 Reactions
53 Replies
3K Views
Habari wana JF. Nahitaji mke wa kuoa kama itawezekana ndani ya mwaka huu. Sifa zangu. Umri, 27 Dini, mkristo Kazi, fundi Umeme Sifa za mke nimtakaye. Awe mrefu kiasi Umri. 20- 25 Dini. Yoyote...
1 Reactions
3 Replies
981 Views
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa Sifa zangu: .mkristo .sina mtoto .Mwajiriwa wa serikali .Elimu yangu Shahada Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo: .mkristo...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa umri usizidi miaka arobaini. Mimi nina miaka 38 ni muislamu ila asiwe na mtoto na awe muamiminifu, subira Heshima uvumilivu Namba 0782210033
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Wasalaam, Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani. Sifa za...
3 Reactions
52 Replies
3K Views
Nawapenda kwasababu wamepevuka "mature" Wanaujua uchungu na thamani ya Ndoa Awe na elim yoyote Mimi niko dar,ni mfanyakazi,nina miaka 34 Age is just a number
1 Reactions
13 Replies
4K Views
MIMI NI MWANAUME NINA UMRI WA MIAKA 34 NI MFANYA BIASHARA NINATAFUTA SINGLE MAMA TUWE KWENYE RELATIONSHIP THEN TUTAAMUA BAADA YA KUWA PAMOJA. VIGEZO: AWE MKRISTU. ASIWE MWEMBAMBA / MNENE...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Sifa zangu.. umri: 33 kazi: nimejiajiri/kuajiriwa elimu: degree moja makazi:kanda ya kaskazini Sifa za mke.. umri: 18-35 elimu: form four ++ tabia/sifa: awe mpambanaji/upendo/tabia njema...
3 Reactions
6 Replies
903 Views
Naitwa Jackson nipo Moshi, Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Umri usiozidi miaka 35. Awe mtanzania wa kuzaliwa. Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana) Awe amesoma angalau kiasi. Awe mwenye Hofu ya Mungu. Awe anajitambua na mwenye...
10 Reactions
47 Replies
5K Views
Nahitaji mke rafiki na hatimaye kuwa mke,sifa zifuatazo zinatakiwa: I) Awe mkatoliki na anajua maana dini ii) Hajawahi kufunga ndoa III) Awe na umri kuanzia miaka 22-28,hata akiwa na mtoto mmoja...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…