Kuna sababu nyingi za kibinafsi, kimaadili, kiuchumi na kijamii zinazoonesha kuwa wakati mwengine kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo lisilobudi.
Kabla ya kulieleza jambo hili ni vyema tukaelewa...
Kule jukwaa la dini sioni watu ....Habarrrrr njema kwa wenye matatizo ya vizazi, kwa mara yakwanza katika maisha yangu nilisikia jana kuwa kuna spea za kizazi..... INAWEZEKANA???
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe:
1. Muislam
2. Umri miak 18-20
3. Mwenye kujiheshim
4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu)
4...
Habari za muda huu wana JF.
Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza.
Kiufupi...
Nina miaka 25, ni mwajiriwa.
Nahitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza nahitaji ndoa
Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha Mungu na mwenye hofu ya mungu
Umri wake uwe...
Sifa zangu
1. Mkristo( dhehebu A.I.C)
2. Nina miaka 30
3. Mwenyeji kanda ya ziwa.
4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo)
5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde.
6...
Nipo kanda ya kati dodoma
Umr 27 yrs
☆kazi: mganga njaa, dei waka kiraka a.k.a multipurpose
☆sina nyumba
☆ sina gari
☆elimu la saba
Natafta msichana wa kuoa kuanzia miaka 18 up to 30
Ajue...
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata.
Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu:
SIFA...
WanaJF
Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi.
Awe mnene
Awe anavutia
Awe rangi yoyote.
Asizidi 35.
Awe na shughuli yake.
Sifa zangu
Nina...
Wadogo zangu, marahaba...
Naomba niongee na wakubwa zangu.
Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120]
Kama...
Mimi
Umri wangu:27
Kazi: mtumishi wa selikari
Mwili:mref wastan,
Ngozi:maji ya kunde
Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje pm
Sifa
1.mcha Mungu
2. Umri miaka 22- 25
3. Sibagui dini wala kabila
Bado ninatafuta mwanaume jamani awe HIV+. miaka 33 kuendelea awe na shughuri ya kumuingizia kipato. Zaidi awe maeneo ya Iringa,,Mimi Nina miaka 30,muajiliwa,mtoto mmoja,
Asanteni karibu PM IPO WAZI
Vigezo;
Awe Mkristo awe dhehebu lolote.
Awe ana miaka isiyozidi 25
Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4
Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani.
*******
Mimi ni msabato...
Karibia mwaka sasa toka nitoe tangazo la kutafuta mwenzi humu.
Upweke ni kitu mbaya sana.
Mimi ni kijana umri ni late 20.
Natafuta mwenzi ambae atakuwa mke.
Nimeajiriwa.
Sichagui dini.
Kwa...
Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili....
Mimi ni mwanaume wa miaka 34. Elimu yangu bachelor, nimejiajiri.
Kulingana na majukumu yangu ya kazi imekuwa ni vigumu sana kuwa na mwingiliano wa watu...
Hello,
Poleni na majukumu ya kila siku ya kujipatia ridhiki na kulijenga Taifa.
Back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa...
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye...
Jamani unajua "no body is perfect" thats why mimi nimeamua kuongea kuhusu udhaifu wangu katika sector ya mapenzi hasa kwenye kipengele cha "cha maneno ya kubembeleza" so jamani kwa mtu mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.