Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kuna sababu nyingi za kibinafsi, kimaadili, kiuchumi na kijamii zinazoonesha kuwa wakati mwengine kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo lisilobudi. Kabla ya kulieleza jambo hili ni vyema tukaelewa...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Kule jukwaa la dini sioni watu ....Habarrrrr njema kwa wenye matatizo ya vizazi, kwa mara yakwanza katika maisha yangu nilisikia jana kuwa kuna spea za kizazi..... INAWEZEKANA???
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe: 1. Muislam 2. Umri miak 18-20 3. Mwenye kujiheshim 4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu) 4...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana JF. Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza. Kiufupi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina miaka 25, ni mwajiriwa. Nahitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza nahitaji ndoa Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha Mungu na mwenye hofu ya mungu Umri wake uwe...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Sifa zangu 1. Mkristo( dhehebu A.I.C) 2. Nina miaka 30 3. Mwenyeji kanda ya ziwa. 4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo) 5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde. 6...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo kanda ya kati dodoma Umr 27 yrs ☆kazi: mganga njaa, dei waka kiraka a.k.a multipurpose ☆sina nyumba ☆ sina gari ☆elimu la saba Natafta msichana wa kuoa kuanzia miaka 18 up to 30 Ajue...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata. Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu: SIFA...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi. Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Awe na shughuli yake. Sifa zangu Nina...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadogo zangu, marahaba... Naomba niongee na wakubwa zangu. Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120] Kama...
16 Reactions
39 Replies
2K Views
Mimi Umri wangu:27 Kazi: mtumishi wa selikari Mwili:mref wastan, Ngozi:maji ya kunde Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje pm Sifa 1.mcha Mungu 2. Umri miaka 22- 25 3. Sibagui dini wala kabila
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bado ninatafuta mwanaume jamani awe HIV+. miaka 33 kuendelea awe na shughuri ya kumuingizia kipato. Zaidi awe maeneo ya Iringa,,Mimi Nina miaka 30,muajiliwa,mtoto mmoja, Asanteni karibu PM IPO WAZI
4 Reactions
44 Replies
39K Views
Vigezo; Awe Mkristo awe dhehebu lolote. Awe ana miaka isiyozidi 25 Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4 Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani. ******* Mimi ni msabato...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Karibia mwaka sasa toka nitoe tangazo la kutafuta mwenzi humu. Upweke ni kitu mbaya sana. Mimi ni kijana umri ni late 20. Natafuta mwenzi ambae atakuwa mke. Nimeajiriwa. Sichagui dini. Kwa...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili.... Mimi ni mwanaume wa miaka 34. Elimu yangu bachelor, nimejiajiri. Kulingana na majukumu yangu ya kazi imekuwa ni vigumu sana kuwa na mwingiliano wa watu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello, Poleni na majukumu ya kila siku ya kujipatia ridhiki na kulijenga Taifa. Back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa. Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye...
26 Reactions
247 Replies
32K Views
Jamani unajua "no body is perfect" thats why mimi nimeamua kuongea kuhusu udhaifu wangu katika sector ya mapenzi hasa kwenye kipengele cha "cha maneno ya kubembeleza" so jamani kwa mtu mwenye...
1 Reactions
25 Replies
547K Views
Mimi ni mwanamke mjane, 42 yrs, HIV +, natafuta mwenza mwenye hali Kama yangu, kwa maelezo zaidi DM.
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Back
Top Bottom