Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello Jf users, As per heading above I'm a woman of 32 years. University level education. I have one kid. Religion-Christian. I'm looking for a Matured Man to start a serious...
9 Reactions
38 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari, kinavyojieleza malengo yangu ni kuhakikisha mpaka mwezi wa 12 nakuwa ndani ya ndoa takatifu hivyo najitokeza kutafuta mke. Mimi nimesoma mpaka a level, naishi Dar es...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 38 Elimu yangu ni Degree. Dini yangu Mkristo. Niko single. Nipo Dar. Sifa za mke awe na umri kuanzia miaka 30 -45. Awe Mkristo pia lazima awe Dar. Aliye...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Habari Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Ni mkristo, naishi Dar. Natafuta mume wa kunioa. Kwa aliye serious karibu PM.
8 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari zenu, za siku nyingi jamani. Nina rafiki yangu wa kike ana miaka 27. Anatafuta mume/ mwenza wa maisha sio boyfriend na yupo serious, aliyeko serious waanze safari ya maisha Sifa zake ni...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi: 1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani) 2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile 3. Umri miaka 28-35. Mimi...
10 Reactions
284 Replies
41K Views
  • Closed
Sifa zangu Umri: miaka 34-35 Dini: Mkristo Elimu: Shahada ya uzamili Ajira: Mwajiriwa wa serikali Urefu: 161cm SIFA ZA MWANAUME Umri: 35-45 Kabila: Lolote Rangi: Yoyote Elimu: Shahada na...
11 Reactions
43 Replies
4K Views
Sifa zangu Umri: 30 Makazi: Tabora&Shy Elimu: ya chuo Kazi: Mwajiliwa Rangi:Mweusi Watoto: 1. Jinsia:Me Kuhusu Mimi: Mpole, mchapakazi Ninayemtaka Sifa zake Umri:20-28 Elimu:Ajue kusoma na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba nikumbushie hapo nyuma kidogo nili post ombi la kutafuta mwenza mwenye nia nashukuru walijitokeza baadhi ya wadada lkn nikapata safari ya ghafla mkoani niliendelea kwasiliana na kuzungumza...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano Mimi ni mwanamke wa miaka 27, Sina mtoto ninaishi Dar es Salaam. Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia. Miaka awe na 30 na kuendelea...
22 Reactions
93 Replies
9K Views
Mimi ni mwaname mwenye umri wa miaka 38 ni muislamu. 1. Awe muislamu 2.umri kuanzia miaka39 hadi45 3.asiwe na mtoto 4.Awe mvumilivu na ukubali kuishi na mtu hohe Hahe ila mwenye kutafuta. 5. Elimu...
3 Reactions
7 Replies
830 Views
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect. Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile. Sifa zake: 1. Awe na umri...
42 Reactions
326 Replies
24K Views
Nataka mchumba ambaye baadae atakuwa mke, nataka nipate mwenzangu kama mchumba sasa hivi ili tuandaane kwa miez isiyopungua 5 mpaka ndoa. Sifa 1. Awe na umri 22-24 2.mwenye elimu isiyozidi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
KWA ALIYE SERIOUS 100% A: KUHUSU MIMI DINI: MKIRISTO KIMO: Mrefu wa kadri RANGI: Maji ya kunde ELIMU: Degree KAZI: Sijaajiriwa NDOA: Sijawahi kuoa MTOTO: Sina UMRI: 34 MAKAZI: Kagera Mengine...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika maisha ya kimahusiano huwa naamini hakuna formula ya kusema mke/mme lazima umpatie sehemu fulan,waliomo humu jf ndio waliopo mtaani japo wengi humu hawapo kwenye uhalisia wao lakini wapo...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Hbr za Jumapili? Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Nahitaji mke mwenye sifa zifuato: Mcha Mungu Mkweli Muwazi Umri 27 -39 Elimu yyte Anajishughulisha Kabila lolote Sifa zangu: Mcha Mungu...
2 Reactions
3 Replies
810 Views
Natafuta mchumba hadi kuwa mke Awe tayari kuwa mke Awe mkristo hata akiwa Muislam tutaongea Age 20 hadi 24 Mwajiriwa au amejiajiri Awe Dar es Salaam SIFA ZANGU: Niko Tayari kusudia Mwajriwa /...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi in mwanamme mtu mzima ninayejiheshimu, umri wangu miaka 49. Nahitaji mwanamke ambaye tutaazisha mahusiano ya kidumu muhimu awe anayejiheshimu na mkweli na mapenzi ya dhati na umri usizidi...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Kama wewe ni msichana mzuri na upo Morogoro Mjini (Municipal) basi njoo PM tuyajenge. Umri usizidi miaka 22, Dini ni yoyote ile Elimu, kama umefika IV na ukajiendelezaendeleza kidogo you derseve...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Salama jamani, Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya...
28 Reactions
201 Replies
27K Views
Back
Top Bottom