Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habarini. Kichwa Cha habari kinajieleza. Sifa zangu:- -nina miaka 33 -nina mtoto mmoja Alhamdulilah. -mpole,msikiv,mchesh. Sifa za nimtakae:- -kuanzia 34-45 -muslim -ukiwa na watoto sawa na...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Awe nurse au Mwalimu. Mimi ni kijana mwanaume, nataka nipate mwenza wa maisha, awe na sifa hizo hapo juu, mimi ni mfanyabiashara, na kipatoa changu kinaridhisha. Mnakaribishwa DM. Zingatia...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Naitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo. Sifa zangu: Nina upendo wa dhati Najituma Nimsikivu na mwelewa Sipendi kelele🤣🤣🤣 Niko simple Sana. Sifa za nimtakaye: Awe na upendo...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Ni kijana wenu kabisa.Asiyekuwa na mambo mengi. Sitaweka sana Information zangu zote naweka kwa ufupi. Umri 22+ Mwanachuo. Makazi;Mwanza Natafuta Rafiki wakike na wakubadirishana naye mawazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wanaJF wenzangu, ni matumaini yangu mko salama kabisa ndugu zangu. Acha niende kwenye maada moja kwa moja. Eeeh Bhana kuna mshikaji mmoja alikuwa anamla Manzi fulani hapa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaume
8 Reactions
57 Replies
6K Views
Kama niliyvo sema apo juu mimi nahitaji mke awe kweli na utayari pia umri usizidi miaka 29, nipo Dar. Huu ndio wasufu wangu Umri wangu 25 Dini yang muslim Kazi mfanya biashara NB:dini Ata akiwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Miaka yangu 29 Makazi Pwani Muislam Nimtakaye Awe kuanzia na miaka 31 Awe na kazi Muislam Atokee Mkoa ya karibu na Pwani au Pwani. NB: Awe tayari kuoa kabla ya mwaka huu kuisha kama...
19 Reactions
53 Replies
5K Views
Naweza nikajiita loser. Niliutumia ujana wangu vibaya sana. Nilijiona mimi ndio mimi. Sikutaka kuwa na mahusiano ya kudumu. Nilipenda kupita bila kujali hisia za wale ninaowahitaji. Nilijiona...
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Mm ni kijana(wakiume) miaka 25 nipo dar es salaam mfanya biashara Naitaj binti mkwer asizidi miaka 29 awe serious sabab sipo apa kupotza mda mimi ni muislam ila dini schagui tutaongea mm na yeye...
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Mimi ni mwanamke, Natafuta mchumba ambaye tutaweza kuanzisha familia pamoja, Baadhi ya sifa zangu 1.Mimi ni mwanamke wa kawaida tu, 2.Nimeajiriwa 3.sina mtoto wala sijawai kuolewa 4.30yrs...
8 Reactions
124 Replies
15K Views
Habarini. Nipo Dar kimaisha na kimakazi na natafuta rafiki wa karibu sana ambaye atakuwa nami kimaisha na kimapenzi. Nipo serious na nina mapenzi ya dhati. Umri wake usizidi miaka 50 nami umri...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hello my Love, When will you come to me. I am tired to be single to sleep alone like nobody. I need you a true love, husband, one of the kind where are you? I will love u, respect u and i will...
18 Reactions
56 Replies
5K Views
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni...
5 Reactions
163 Replies
20K Views
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari. Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini za maisha ndugu? Hongera kwa tulio wazima wa afya, pole kwa wanaoumwa na tunamuomba Mwenyezi Mungu awajaalie wapone na kurejea kuwa na afya njema. Kama kichwa cha uzi kilivyo hapo juu...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Hello people i am looking for a true love i love to express my self. I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me . Qualifications Tall but not much Avarage...
20 Reactions
157 Replies
12K Views
Habarini wadau.Nisipoteze muda, nachukua nafasi hii kuweka hapa rasmi, mke mwema anahitajika. Umri wa mume mtarajiwa Ni 36 yrs, mkristo Safi, Elimu Ni graduate..., Mwajiriwa idara X. Mwanamke...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari ya leo wana jukwaa wenzangu, Mke wangu hataki kunipa tunda hata niki muuliza kila siku anakuwa na sababu tofauti mara nime choka, mara leo naumwa nashindwa kuelewa kwanini ananifanyia hivyo...
3 Reactions
52 Replies
6K Views
Natafuta mke mwema anayejitambua Umri kuanzia miaka 25-33. Mawasiliano WhatsApp 0783432534 au 0620555694 Very welcome.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom