Habarini.
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Sifa zangu:-
-nina miaka 33
-nina mtoto mmoja Alhamdulilah.
-mpole,msikiv,mchesh.
Sifa za nimtakae:-
-kuanzia 34-45
-muslim
-ukiwa na watoto sawa na...
Awe nurse au Mwalimu.
Mimi ni kijana mwanaume, nataka nipate mwenza wa maisha, awe na sifa hizo hapo juu, mimi ni mfanyabiashara, na kipatoa changu kinaridhisha.
Mnakaribishwa DM.
Zingatia...
Naitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo.
Sifa zangu:
Nina upendo wa dhati
Najituma
Nimsikivu na mwelewa
Sipendi kelele🤣🤣🤣
Niko simple Sana.
Sifa za nimtakaye:
Awe na upendo...
Ni kijana wenu kabisa.Asiyekuwa na mambo mengi.
Sitaweka sana Information zangu zote naweka kwa ufupi.
Umri 22+
Mwanachuo.
Makazi;Mwanza
Natafuta Rafiki wakike na wakubadirishana naye mawazo...
Habari za wakati huu wanaJF wenzangu, ni matumaini yangu mko salama kabisa ndugu zangu. Acha niende kwenye maada moja kwa moja.
Eeeh Bhana kuna mshikaji mmoja alikuwa anamla Manzi fulani hapa...
Kama niliyvo sema apo juu mimi nahitaji mke awe kweli na utayari pia umri usizidi miaka 29, nipo Dar.
Huu ndio wasufu wangu
Umri wangu 25
Dini yang muslim
Kazi mfanya biashara
NB:dini Ata akiwa...
Miaka yangu 29
Makazi Pwani
Muislam
Nimtakaye
Awe kuanzia na miaka 31
Awe na kazi
Muislam
Atokee Mkoa ya karibu na Pwani au Pwani.
NB: Awe tayari kuoa kabla ya mwaka huu kuisha kama...
Naweza nikajiita loser. Niliutumia ujana wangu vibaya sana. Nilijiona mimi ndio mimi. Sikutaka kuwa na mahusiano ya kudumu. Nilipenda kupita bila kujali hisia za wale ninaowahitaji.
Nilijiona...
Mm ni kijana(wakiume) miaka 25 nipo dar es salaam mfanya biashara Naitaj binti mkwer asizidi miaka 29 awe serious sabab sipo apa kupotza mda mimi ni muislam ila dini schagui tutaongea mm na yeye...
Mimi ni mwanamke, Natafuta mchumba ambaye tutaweza kuanzisha familia pamoja,
Baadhi ya sifa zangu
1.Mimi ni mwanamke wa kawaida tu,
2.Nimeajiriwa
3.sina mtoto wala sijawai kuolewa
4.30yrs...
Habarini.
Nipo Dar kimaisha na kimakazi na natafuta rafiki wa karibu sana ambaye atakuwa nami kimaisha na kimapenzi. Nipo serious na nina mapenzi ya dhati. Umri wake usizidi miaka 50 nami umri...
Hello my Love,
When will you come to me. I am tired to be single to sleep alone like nobody.
I need you a true love, husband, one of the kind where are you?
I will love u, respect u and i will...
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni...
Kama wewe ni muhusika basi husika na kichwa cha habari.
Mimi ni kijana wa miaka 36, na ni baba pia wa mtoto mmoja wa kiume. Nilikimbiwa na mwanamke baada ya kuyumba kiuchumi na mpaka sasa bado...
Habarini za maisha ndugu?
Hongera kwa tulio wazima wa afya, pole kwa wanaoumwa na tunamuomba Mwenyezi Mungu awajaalie wapone na kurejea kuwa na afya njema.
Kama kichwa cha uzi kilivyo hapo juu...
Hello people i am looking for a true love i love to express my self.
I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me .
Qualifications
Tall but not much Avarage...
Habarini wadau.Nisipoteze muda, nachukua nafasi hii kuweka hapa rasmi, mke mwema anahitajika.
Umri wa mume mtarajiwa Ni 36 yrs, mkristo Safi, Elimu Ni graduate..., Mwajiriwa idara X.
Mwanamke...
Habari ya leo wana jukwaa wenzangu,
Mke wangu hataki kunipa tunda hata niki muuliza kila siku anakuwa na sababu tofauti mara nime choka, mara leo naumwa nashindwa kuelewa kwanini ananifanyia hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.