Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana Mwenye miaka 30, mwenye kupenda kujifunza vitu vipya kila siku either kutoka kwenye vitabu au watu au youtube and all stuff like that kifupi I'm open minded person. Niko tayari...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Umri: Kuanzia Miaka 23 - 30 Awe Mkazi wa Dar es Salaam Njoo PM tuyajenge Kama sio mlengwa kaa pembeni, kuna vitu vingi vya kufanya..
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu. Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30. Mwenye nia ya dhati aniPM.
10 Reactions
65 Replies
13K Views
Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Elimu yangu kidato cha nne Umbo la mwili wangu ni mwembamba na mrefu kiasi. Kabila langu Mnyamwezi naishi Dar. Kazi yangu...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Elimu yangu ni bachelors degree. Ni mwajiriwa na nimejiajiri pia. Dini yangu ni Mkristo. Nahitaji mke mwenye umri wa miaka 20-32. Dini awe mkristo
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Hii, Naitwa Jophy (29yrs), Christian (KKKT) and God fearing man. Naishi dodoma. I am a university graduate and now nafanya mishe zangu hapa dodoma. I am looking for a very bright woman (girl...
1 Reactions
7 Replies
979 Views
Wasalaam wakuu!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu Wasifu wangu *Umri -26 *Elimu -Bachelor degree * Dini - muislam *Rangi- Mweusi(pure)...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Naitwa mercy natafuta mwenza wa kufanya nae maisha sifa zangu ni: Umri 33yrs Dini Mkristo Elimu Degree Kazi Mwajiriwa serikalini Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa koz nilikuwa nasoma na...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Nilitangaza kutafta mke ila vigezo tajwa Wengi hawakuvitimiza kwa ufasaha 1.Mwanamke mkristo 2.Mwanamke siyo mwembamba ila awe na umbo mashalah (wamejitokeza wenye unene wa tumbo) 3.Elimu...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari zenu. Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es salaam kwa ndugu zangu. Ni mhitimu wa chuo ngazi ya stashahada ila bado sijafanikiwa kupata ajira. Natafuta mwanaume mwaminifu na mwenye...
15 Reactions
54 Replies
47K Views
Habarini wa JF? Natumaini hamjambo. Najitokeza kwenu leo katika jukwaa hili nikiwa na uhitaji wa mwanamke atakae kuwa tayari kuingia nae kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 27 kwa sasa na mtoto mmoja...
2 Reactions
5 Replies
774 Views
Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili tuwe wapenzi:- 1) umri kati ya 25 mpaka 45 2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote) 3)mwenye kujishughulisha na chochote 4)muwazi Naomba ni pm...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta mchumba ambaye baadae atakuwa mke wang mtarajiwa miaka 28-32 na awe anaish Dar au pwan(kibaha) kwa aliye seriously ani pm
1 Reactions
6 Replies
854 Views
Habari wana jukwaa. Tayari nina wake watatu (03), wote ni wake wema na wana sifa za msingi kuwa wake bora. Sasa natafuta mke wa nne (04). Huyu namuoa kama sehemu ya kusaidia watu wenye uhitaji...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
NAMAANISHA KABISA. Hello, natafuta mume miaka 40-65. Awe anayeweza majukumu ya kutunza na kuhudumia mke, familia. Nicheki WhatsApp 0656-876 084. Ukiwa huna umri niliotaja usinitafute..watoto...
5 Reactions
47 Replies
5K Views
Umri:26 Elimu:stashahada Makazi:dar Kazi: mtumishi wa serikali Bado sijajenga nipo kwenye mchakato wa kurekebisha maendeleo. Mwanamke ninayemhitaji: Umri: 21-24 Elimu kuanzia form IV kuendelea...
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Mimi WL na si mtu mwingine. Nahitaji Mwanaume Hanithi. Asiwe shoga wala asiwe amewahi kujihusisha na ushoga. Awe anayejiamini na anaweza kutatua changamoto za kimaisha. Awe na malengo ya kuoa...
4 Reactions
131 Replies
27K Views
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata. Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu: SIFA ZANGU...
1 Reactions
3 Replies
892 Views
Sifa zangu Miaka yangu 33 Kaz biashara ndogo ndogo Kabila sukuma /nyamwezi Makaz dsm Dini roman mkristo Mrefu mweusi mawasiliano yangu ni 0763932278 Vigezo vya mke Asiwe na mtoto Umr uwe...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Natafuta msichana wa kuoa na kuanzisha familia naye umri wangu miaka29 Dini ni mkristo Kazi nimejiajiri sifa za msichaa nimtakaye umri kuanzia 19-26 dini lolote, awe na hofu ya mungu tu...
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Back
Top Bottom