Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Umuofia kwenu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 napatikani mkoani Dodoma,nahitaji kampani ya mdada mtu mzima mwisho 35 na asiwe chini ya 28 na awe na shughuli zake ,tafadhali kama una sifa...
0 Reactions
2 Replies
605 Views
Awe na sifa zifuatazo: Umri 20-25 Muislam Mweupe Mwenye elimu yeyote Mchapakazi Mkazi wa Dar es salaam Umri wangu 26 Nmejiajiri fundi AC Naishi Tegeta Njoo pm kma upo tayari
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Majirani wetu mpoo! I'm 25yrs lady from Kenya searching for my better half 30-50yrs. Note: Sina mtoto, I'm a teacher so the man lazima awe na kazi nisije kulala njaa.
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari za humu ndani wanajamvi, Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo. Sifa zangu Mkristo nilieokoka nampenda Yesu Miaka 28 elimu diploma...
13 Reactions
154 Replies
11K Views
Wapendwa Najitokeza tena kwenye jukwaa hili, kuchukua hii fursa ya kujitafutia mwenza aliyeko tayari kuanza maisha; sifa zangu; Nina umri wa miaka 39 Sijawahi kuolewa wala sina mtoto Naishi Dar...
14 Reactions
108 Replies
13K Views
Habar zenu wadau,, Mim sio muandishi mzuri sana ila nimekuja hapa natafuta rafiki wa kike,,, mimi age yangu 28yrs mbishe zangu nafanyia dar es salaam nmeajiriwa kibishi,, rafiki age yoyote ile...
1 Reactions
1 Replies
570 Views
  • Closed
Am a Tanzanian Woman. Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi. Mimi Nimetengana na Mume wangu. Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya...
70 Reactions
901 Replies
205K Views
Natafuta mwanamke nitakayedate naye hadi tujenge ndoa. Nipo Chuo mwaka wa Mwisho Umri awe kuanzia miaka 18 adi 24, awe mwenye hofu ya Mungu, mkweli, ni vizuri awe Dar es Salaaam Namba za simu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi I am Jophy, Christian, 29yrs of age, degree holder and I am at Dodoma doing my staff. I am looking for girlfriend who is not occupied, God fearing woman, Confident very focused and lovely one...
1 Reactions
4 Replies
581 Views
Naitwa secy nahitaji mwenza sifa zangu Umri: 34 Dini: Christian Kazi : mwajiriwa ( Government) Elimu:Degree Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa Naihitaji mwenza mwenye sifa zifuatazo: Umri: 34-47...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Nina umri wa miaka 24, natafuta mchumba wa kike alioko serious wa kuanzisha mahusiano, awa mrefu kiasi, maji ya kunde au mweusi, umri 19-22, elimu kuanzia form four, awe mkweli na mwaminifu, in...
0 Reactions
3 Replies
775 Views
Habari wana JF natafuta mchumba wa kike Sifa 1 awe mkweli kweny mahusiano 2 mchapakazi 3 mcheshi 4 awe na elimu ya kujitambua 5 maji ya kunde mrefu kidogo sio mnene san 6 awr dar es salaam...
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Zingatia umri hapo juu. Nahitaji mpenzi ambaye tukiendana tutaoana, sifa awe mweupe maana mm n maji ya kunde kwahyo tuchanganye rangi, awe mrefu au wastani. Awe tayari kupima afya, pia awe tayari...
0 Reactions
4 Replies
784 Views
Habari Natafuta msichana wa kuwa naye. Vigezo:- 1. Awe amesoma diploma or degree 2. Umri miaka 20-25 3. Muislamu 4. Mkazi wa Dar es Salaam 5. Mrembo Umri wangu ni miaka 28. Ni Electrical...
1 Reactions
1 Replies
669 Views
Sifa zangu nina umri wa miaka 32 nmrefu wa wastan mweusi, mpole, nina mtoto 1 wa kike ana miaka 6 nimejiajiri mwenyewe mwanamke ninayemhitaji sifa zake rangi yeyote, mrefu kias muelewa awe...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke ambae ambae tutafikia hadi kuoana na kuishi kwa amani Sifa Awe na umri kuanzia 23 hadi 29 Awe muislam Awe na hof na mungu NB: Rangi na kimo sivipi kipaombele. Sio lazima awe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sifa za mwanamke 1 Umri 20-24 2 Elimu kuanzia form 4 3 kabila lolote 4 asiwe na mtoto 5 Asiwe mfupi Sana, yaani urefu wa wastani au mrefu kabisa 6 Rangi iwe ya Maji ya kunde au mweupe 7 Awe tayari...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Habari wapendwa! Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu...
10 Reactions
78 Replies
16K Views
Mimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu...
21 Reactions
128 Replies
24K Views
Natafuta MKE wa kuoa,awe mrefu,maji ya kunde au mweupe,mkiristo,mpenda maombi,awe na hofu ya MUNGU,awe anajua kusoma na kuandika,umri kwanzia miaka 21 hadi 31
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Back
Top Bottom